TEMLO DA VINCA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 3,079
- 3,367
Unavyosema kwa maringo as if mna mimafutaa mingiiii?????hahahahah watu wenye mafuta yetu tumetulia tuu wala hatuna presha tunaenda step by step hahahahMafuta ni yetu, pipeline ni yetu wawashiwa nini wewe bongolala
And that is just from oil alone, if you add with their current GDP, might be bigger than Nigeria[emoji23] [emoji23] [emoji23]I wish u understand what GDP IS.
hizo ni comments za watu kama mimi na wewe..SMHKwa taarifa kutoka kwa wakenya wenzako nikuwa wanalalamika kuwa SGR Uganda wanaipekeleka South Sudan. Museveni hafulukuti kwa TZ. Mmekwisha habari. Muda wowote mnaweza ngoa bomba kama mlivyofanya kwenye reli. Pata habari kutoka kwa wakenya wanaojitambua. Itakuchoma ila vumilia. View attachment 683485 View attachment 683486 View attachment 683487 View attachment 683488 View attachment 683489
hizo ni comments za watu kama mimi na wewe..SMH
Incase haujaelewa kinachoongelewa hapo na watu kama mimi na wewe . Its priority ya Uganda kati ya kujenga reli to Rwanda or S.Sudan.. Hawa jamaa wana assume kwamba reli ya Kenya itakua tayari ilishafika Kampala. Wanachoongelea hapo ni what next after Kampala. Kulingana na hio discussion, Kenya ingeprefere Uganda wajenge kwenda rwanda kwanza na Uganda priority yao ni S.sudan...in that case Kenya will loose out to Tz in a race to get to Rwanda+DRC...comprende???
ebu weka na bomba la TAZAMA... alafu weka na mradi ujao wa kutoka kongo rwanda to tanzania... ili apate hasira zaidi
Hahahaha. Huu mradi wa Uganda is big deal. Naona kwa muono wangu kama ifuatavyo.ebu weka na bomba la TAZAMA... alafu weka na mradi ujao wa kutoka kongo rwanda to tanzania... ili apate hasira zaidi
Hahahaha. Huu mradi wa Uganda is big deal. Naona kwa muono wangu kama ifuatavyo.
View attachment 683507
Hakuna guarantee oil prices will remain the same by the time you start exporting oil through Lokichar-Lamu pipeline.Current crude price for heavy oil $65/barrel, but lets use a flat rate of $60/barrel.
60x750 million barrels that's $45Billion USD
The pipeline to Lamu + oil depo = $2.5B
Taxes and fee charges of lets say $15/barrel will be somewhere near $15B .
Other logistical expenses like electricity, insuarance,salaries =$2B
That will leave at least $26.5B as profit for the oil companies, which makes it a worthy investment , this is before the possibility of S.Sudan joining also there could be more oil discoveries near Lamu.
Remember we also plan to buy oil blocks from tullow and total , so there could be more profits for us
View attachment 683463
Pipeline itajengwa mpende msipende
TE]
Kwa taarifa kutoka kwa wakenya wenzako nikuwa wanalalamika kuwa SGR Uganda wanaipekeleka South Sudan. Museveni hafulukuti kwa TZ. Mmekwisha habari. Muda wowote mnaweza ngoa bomba kama mlivyofanya kwenye reli. Pata habari kutoka kwa wakenya wanaojitambua. Itakuchoma ila vumilia. View attachment 683485 View attachment 683486 View attachment 683487 View attachment 683488 View attachment 683489
Mnapenda nchi yenu alafu umesema mnakula rushwa na makitu gani? Tribalism...sasa hapo upendo upo wapi..as nafahamu mtu anayependa nchi yake..hawezi penda rushwa wala ukabila..!! Nyie mnachekesha sanaAlthough I may be wrong and I stand to be corrected. Theory yangu ni kwamba Wakenya wanapenda nchi yao sana na hawawezi kamwe kufanya jambo linaloweza kushusha hadhi yao.Ukitupilia mbali corruption na tribalism, Wakenya bado wanapenda nchi yao ndio maana tuko na amani ilhali nchi zingine hazina amani. KE kuunganisha pipeline na Uganda ni jambo la aibu sana kwetu. Uganda ndio inastahili kututegemea sisi sio sisi kutegemea nchi ndogo kama hio ( by the way, mimi sina chuki na Uganda) Wakenya wengi wanahisi kwamba ni vyema serikali yetu itafute pesa ijenge pipeline hadi Lamu ata kama Lamu ni mbali kushinda Hoima. Natumai sasa umeanza kuelewa psychology ya Wakenya.
wakenya hawafikirii sana hapo hata mtoto mdogo anajua Sudan na lamu ni mbali mara 3 ukilinganisha na Uganda connection to Tanga
Sindano imeingia sehemu yake husika. SS ni Museveni. Acha ufala weweSasa wewe unatuletea dezo dezo za kwengine, shiriki kwenye mada za JF na WanaJF wenzako, hata mimi hapa nikitaka naweza nikaleta screenshot za Watanzania kwenye forums zingine, lakini inabidi nishiriki kwa kila forum kivyake.
It's not just about patriotism. It's also about looking at the future. Imagine we discover oil in other blocks within kenya especially in the Eastern parts like garrisa. Sa tutaitaji kuipeleka UG kutoka huko? Lamu area is also a prospecting area. Going the UG route would seem stupid when you think about it this way.Although I may be wrong and I stand to be corrected. Theory yangu ni kwamba Wakenya wanapenda nchi yao sana na hawawezi kamwe kufanya jambo linaloweza kushusha hadhi yao.Ukitupilia mbali corruption na tribalism, Wakenya bado wanapenda nchi yao ndio maana tuko na amani ilhali nchi zingine hazina amani. KE kuunganisha pipeline na Uganda ni jambo la aibu sana kwetu. Uganda ndio inastahili kututegemea sisi sio sisi kutegemea nchi ndogo kama hio ( by the way, mimi sina chuki na Uganda) Wakenya wengi wanahisi kwamba ni vyema serikali yetu itafute pesa ijenge pipeline hadi Lamu ata kama Lamu ni mbali kushinda Hoima. Natumai sasa umeanza kuelewa psychology ya Wakenya.
Nimesoma juzi gazeti la kenya wanasema kenya 600M hawaeleweki nao hawaHilo ndilo linalonishangaza, Uganda kiwango kilichogundulika ni 6.5B barrels, lakini recovable ni 33% ambayo ni 2B. barrels. Kenya kiwango kilichogundulika ni 800M.barrels, lakini recovable wanasema ni 750M. Barrels, sielewi lengo lao ni lipi hawa, kupenda kuwashusha wengine na wao kujikweza,
Kakopeni hela tena kwa wachina waichukue bandari ya mombasa kama compasantion ya deni Lao kama Sri Lanka [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Wazee wa kujikweza kazi mnaloo budaCurrent crude price for heavy oil $65/barrel, but lets use a flat rate of $60/barrel.
60x750 million barrels that's $45Billion USD
The pipeline to Lamu + oil depo = $2.5B
Taxes and fee charges of lets say $15/barrel will be somewhere near $15B .
Other logistical expenses like electricity, insuarance,salaries =$2B
That will leave at least $26.5B as profit for the oil companies, which makes it a worthy investment , this is before the possibility of S.Sudan joining also there could be more oil discoveries near Lamu.
Remember we also plan to buy oil blocks from tullow and total , so there could be more profits for us
View attachment 683463
Pipeline itajengwa mpende msipende
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wasisahau Alshababu wanahamu nalo sana hilo Bomba, wakimaliza tu kulijenga wazee wazima wanatia timu kuliRostisha. "PATAMU HAPO".
Tatizo ni kwamba watz wengi mko na emotions nyingi sana, arguments zenu haziangalii beyond emotions .. Sasa unatumia siasa za EPA kufanya arguments za pipeline, like seriously!Achana na incase
You have already lost. Forget about SS to join your pipeline. Magufuri is a game changer. Hivi mnakumbuka mlivyotaka kuwa support EU kwenye swala LA EPA nahuku walikuwa wamewawekea vikwazo SS name Burundi? Museveni na Magufuli ndowalisimama kuwakataa nakuwambia wasiingilie SS aunt Burundi kwani mambo ya Africa tutayamaliza sisi
Mnafiki Uhuru Kenyatta hakuuzulia hicho kikao. Ruto alikuja lakini alinuna mutation wote. Leo hii SS nimjinga kukubali kuungana nanyie nyangau mnaemkumbatia mzungu?? Think twice