Total kujenga bomba la mafuta la Kenya

hapa naona mtu akilia sababu total hawezi jenga mbili,najiuliza mbona anatoa commitment kwa UK ama anazingua tuu
 
Kakopeni hela tena kwa wachina waichukue bandari ya mombasa kama compasantion ya deni Lao kama Sri Lanka [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Wazee wa kujikweza kazi mnaloo buda
Sawa sisi tulikopa tujenge SGR, nyinyi mnatumia cash.....

Bajeti yetu ya elimu ni $2B , yenu ni $600m , tuwaachie watoto na vitukuu vyetu watatuambia nani alijikweza
 
Sawa sisi tulikopa tujenge SGR, nyinyi mnatumia cash.....

Bajeti yetu ya elimu ni $2B , yenu ni $600m , tuwaachie watoto na vitukuu vyetu watatuambia nani alijikweza
Sasa wewe kama bajeti ya elimu ni $2B, wakati wananchi hawana chakula wanakufa kwa njaa, hizo shule nani atasoma?, hiyo ni nchi ya wendawazimu wasiojua priorities, chakula kwanza, mengine yote yanakuja baadae.
 

Those are small nations my big farting friend.
 
Tanga Hoima is a White elephant. Tanzania haina mafuta so it's costly since the gains are minimal. Watanzania msahau Uganda na SS.
 
Those are small nations my big farting friend.
South Sudan is a third Nation oil producer, just behind Nigeria and Angola, you call it small Nation?, ama kweli vichwa vya wakenya vimejaa ukabila na corruption only.
 
Tanga Hoima is a White elephant. Tanzania haina mafuta so it's costly since the gains are minimal. Watanzania msahau Uganda na SS.

Ahaaa haaaa haaaa umekurupuka toka usingizini. Sorry come again which one is a white elephant???
 
Tanga Hoima is a White elephant. Tanzania haina mafuta so it's costly since the gains are minimal. Watanzania msahau Uganda na SS.
Mbona pesa tumrshakabidhiwa$3.5B, na ujenzi umeshaanza?, au tusimamishe ujenzi na hizi pesa tuwanunulie chakula ili muondokane na aibu ya food donations?[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Geza alikuwa sahihi ila ujinga wa serikali yenu ya Kenya mmeforce hiyo njia bila kujua madhara yake sasa Uganda imechukia Kwa sababu mmekataa mafuta yenu kupitia Uganda kuja tz ndo mana Uganda inataka kulipa kisasi na kujidai muisaidie kuomba mkopo wa kujenga sgr kuunganisha Kenya
 
@jito la jiwe Weka picha moja tu inaonyesha ujenzi, kichaa wewe.
 
Sasa wewe kama bajeti ya elimu ni $2B, wakati wananchi hawana chakula wanakufa kwa njaa, hizo shule nani atasoma?, hiyo ni nchi ya wendawazimu wasiojua priorities, chakula kwanza, mengine yote yanakuja baadae.
Swali unafaa kujiuliza, inakuaje nyinyi mlioshiba mnashindwa na Kenya ya njaa kwa school enrolment rate.

Inakuaje watoto maskini wa Kenya wenye njaa wanawashinda hata wanafunzi wa tajiri wa Tanzania... Kama priority ya Tz ni watu wale washibe alafu wakae vijiweni kupiga udaku basi mme achieve

 
Akili zao fyatu manyangau wanaishi katika dunia ya kufikirika.
 
Sasa wewe mbona unazunguka?, mimi nimekuambia kwamba, ni taifa la wendawazimu pekee ambao watakimbilia kushughulikia elimu kwanza wakati watu wake wanakufa kwa njaa, ninyi mnashughulika na elimu na flyovers wakati watu wanakufa njaa, stupid nation.

Kuhusu Elimu, Tanzania ni nchi pekee katika EA ambayo inatoa elimu bure toka primary schools hadi high school, pamoja na kwamba ina population kubwa zaidi, kwa ufupi tunaweza kusema,
1)Tanzania inajitosheleza kwa chakula, na kulisha nchi za Afrika
2)Tanzania inatoa elimu bure toka primary hadi high school
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…