Toto la KDF hili

Kweli Kenya mmekosa warembo....sasa huyu si kama mamantilie wa pale Buguruni sokoni.

Duh Wabongo mnaishi maisha magumu sana na tabu nyingi, stress zitawaua, hamna chochote ambacho kinawapitia machoni bila kuingiza chuki na majungu. Hivi mlifikia huku lini, zamani tulikua tunaambiwa Tanzania kwa wastaarabu, lakini vitoto vya bongo vya leo full majungu na milegezo hapo Dar.

Mwanaume kamili hufai kuongea mabaya kuhusu urembo wa mwanamke, na ndio maana wanawake wa Bongo wanawatoroka nyie na kuolewa na wageni. Maana mumeshindwa na majukumu ya kiume. Kama dume unafaa kutafuta mazuri kwa mwanamke na sio kukomaa na mabaya tu.

Mambo kama hayo hupelekea kwa wanaume kuishiwa na nguvu za kiume. Ukiwa mwanaume ambaye kazi ni kukosoa nakuhakikishia hata kitandani hutamudu kumridhisha mwanamke yeyote yule maana akili zako zimeganda na unawaza tu mabaya kuhusu mpenzi wako mliye naye kitandani. Mara matiti/nyonyo, mara miguu, mara hiki mara kile, unakuta hata dushe lako/uume unagoma maana akili zilishavurugika huoni chochote kizuri. Mwanaume unalalamika kama mwanamke, hamna tofauti kati yenu hapo kitandani.

Dume la kweli unafaa kutafuta mazuri kwa mrembo wako, kumtunza na kumpa shughuli ya kweli kitandani bila kuzingatia mapungufu yake, maana ukitafuta mabaya utayakuta tu, kuanzia kwa nywele alivyosuka hadi kucha za miguu, ukiwa kama toto la kike kazi kutafuta mabaya utayaona tu. Hivyo wacha umbeya wa wanaume wa Dar, kula vyakula vya asili na umridhishe demu wako.
 
kwenye ile drinking spree pale westgate huyu alikunywa bia ngapi? 😀
 
Nyie ni hadithi za vijiweni tu.Danganyika hamna warembo acha kutudanganya.Wote tu ni mama pima.Afadhali ungeniambia kwa Kagame kule ningekubali.....
Alafu,tz sijawah ona mwanajesh/police mzuri kama huyu........labda kdogo matrafic wapo wapo wazuri
 
Hakuna chuki mkuu, ila ndio reality wanawake ambao nyie mnaona wazuri/standard wako chini sana ukilinganisha wa WA-TZ ambao tunaona ni normal beatiful.Sasa huyo askari ana uzuri gani kiasi akatawala mitandaoni Kenya? Alafu kama mnawatunza kwa nini wanawake wenu wanapiga makofi? Nakumbuka nilipokuwa UDSM kuna MKenya mmoja alikuwa anakaa sehem pale Mabibo anashangaa wasichana wa TZ kutwa mzima.BTW-hongera kwa kuwa na kiswahili standard cha Kitanzania.
 

Nakupa darasa wewe dogo wa Dar, na ndio maana mnatukanwa sana na wanaume wa mikoani. Mwanamke halinganishwi, ukiwa dume kazi kulinganisha wanawake, mara huyu hiki huyu kile hutaweza kutimiza majukumu maana dushe lako litakua ovyo siku zote, maana huwa linategemea uimara wa akili.

Urembo wa mwanamke hauna Ukenya wala Utanzania, hayo yakutoke akilini. Hii ni mipaka aliweka mzungu na hapakua na kitu kama hicho miaka ya mababu zetu.

Leo hii nakupa mtihani/zoezi, ukirudi nyumbani vitafute vitu vitano vizuri kuhusu demu wako, utashangaa jinsi alivyo mrembo kumbe hukua unaviona hapo awali.
 

I have always said and I am saying it again: Kenyans are essentially stupid. Meanamke gani hawa wakusifia? Hao wengine umetuma picha miguu mibovu mno. You guys have been exposed to ugliest things in life, chakula bora ni Ugali sukuma, maisha yenu ni chuki za ukabila...and most of you are dark and so freaking ugly. Yaani huyu hawa wanawake wabovu nao wanapata attention Kenya? Kenya wa shamba na wajinga mno. No wonder presidee wenu analia lia kama mtoto aliye jikojolea kwenye pampers.
 
Acha porojo wewe, ina maana hujui kuwa huyo ni chakula huko camp?
 
Safi kabisa!!,
 
Wew jamaa unaakili sana big up Mkuu!!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…