kanyagio
JF-Expert Member
- Dec 10, 2009
- 1,021
- 366
TOTOLUCK na ZOOM nitagulize kutoa shukrani kwa juhudi mnazofanya kuleta matangazo ya kazi.
pamoja na hilo nina hojaifuatayo:
TOTOLUCK na ZOOM yako mnalostisha waombaji.
hebu elekeza namna gani watu wanatakiwa kuomba kupitia website yenu.
nimeona applications nyingi zimetupwa kapuni simply applications zilizotumwa kupitia website yenu zinakuwa blank - hakuna cha application letter wala CV. so hebu toeni elimu!!
otherwise watu wataishi kuhisi hawakuitwa interview kumbe kosa lipo kwenye website yenu.
Source: nimeona kwa HR manager online applications zikiwa blank na hivyo kutupwa kapuni.
mfano ni huu hapa chini:
From: inquiry@ZoomTanzania.com [mailto:inquiry@ZoomTanzania.com]
Sent: Tuesday, March 19, 2012 5:27 PM (edited)
To: xyz (edited)
Subject: Application for.......... Management Specialist Post
An inquiry regarding your listing on ZoomTanzania.com for xyzi):
Listing ID: 6965 - Xyx
This inquiry was sent from mdeogratias@hotmail.com . To reply to this inquiry, simply Reply as you would any other email and it will be addressed to the correct email address.
May I submit may application to you. Thanks for considering me
Brought to you by your friends at www.ZoomTanzania.com.
pamoja na hilo nina hojaifuatayo:
TOTOLUCK na ZOOM yako mnalostisha waombaji.
hebu elekeza namna gani watu wanatakiwa kuomba kupitia website yenu.
nimeona applications nyingi zimetupwa kapuni simply applications zilizotumwa kupitia website yenu zinakuwa blank - hakuna cha application letter wala CV. so hebu toeni elimu!!
otherwise watu wataishi kuhisi hawakuitwa interview kumbe kosa lipo kwenye website yenu.
Source: nimeona kwa HR manager online applications zikiwa blank na hivyo kutupwa kapuni.
mfano ni huu hapa chini:
From: inquiry@ZoomTanzania.com [mailto:inquiry@ZoomTanzania.com]
Sent: Tuesday, March 19, 2012 5:27 PM (edited)
To: xyz (edited)
Subject: Application for.......... Management Specialist Post
An inquiry regarding your listing on ZoomTanzania.com for xyzi):
Listing ID: 6965 - Xyx
This inquiry was sent from mdeogratias@hotmail.com . To reply to this inquiry, simply Reply as you would any other email and it will be addressed to the correct email address.
May I submit may application to you. Thanks for considering me
Brought to you by your friends at www.ZoomTanzania.com.