Tottenham Hotspur wanaweza amua hatima ya Mourinho, lakini United wanachekelea rekodi hizi

Tottenham Hotspur wanaweza amua hatima ya Mourinho, lakini United wanachekelea rekodi hizi

kwanini uende mbali huko wakat man u anashinda kiilaini hii gemu? tunaanza na trend ya mechi tano za mwisho ni mwendo wa lose wiin lose win lose win
View attachment 848686

tunaenda kwenyye head yo head zao wote wanaonekana wababe wanapo kuwa viwanja vya nyumbani
angalia hapa
View attachment 848687


Hitimisho: sioni sababu ya morinyo kupoteza hii mwchi. Akipoteza basi itakua kwa kutoka droo. Ahsante.

NB kwa wale wazee wa kuweka mikeka kuziacha odds za man u zipotee hivi hivi ni kosa la jinai mahakama ya wanakubet itakukuta na kosa la kujibu.
[emoji38][emoji38] ubarikiwe mkuu Mr Q nalala njaa leo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwanini uende mbali huko wakat man u anashinda kiilaini hii gemu? tunaanza na trend ya mechi tano za mwisho ni mwendo wa lose wiin lose win lose win
View attachment 848686

tunaenda kwenyye head yo head zao wote wanaonekana wababe wanapo kuwa viwanja vya nyumbani
angalia hapa
View attachment 848687


Hitimisho: sioni sababu ya morinyo kupoteza hii mwchi. Akipoteza basi itakua kwa kutoka droo. Ahsante.

NB kwa wale wazee wa kuweka mikeka kuziacha odds za man u zipotee hivi hivi ni kosa la jinai mahakama ya wanakubet itakukuta na kosa la kujibu.
Huu ndoo mpira sasa,, epl,, msiwe mnalopoka muwemnatunza maneno mengine hahaaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom