Mbeya City Spurs I
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 482
- 1,025
Pongezi kwa Mourinho kwa kwenda naye taratibu mpaka amekuwa na full fitness.Mnamuona Bale akianza?
Anyway, siku ile jamaa mbeya city spurs nilikua namuambia Bale anatakiwa aanze akasema siyo performer mzuri. Nilisema ukimuweka Bale, Son, Ndombele na Kane hiyo game moto unawaka.Pongezi kwa Mourinho kwa kwenda naye taratibu mpaka amekuwa na full fitness.
Haikuwa kazi rahisi kumfanya acheze hivi. Amecheza vizuri mechi 3 mfululizo ndiyo sababu alistahili kuanza leo na ameweka furaha kwa kila shabiki wa Spurs. Sasa huenda tumetatua tatizo la RW.Mnamuona Bale akianza?
Naelewa unachomaanisha mkuu. Kila mtu, na hata Mourinho kasema juzi, anataka kuona Bale kama huyu. Kuanzia game 5 zilizopita kurudi nyuma ukitazama performance ya Bale hata ungekuwa wewe ndiye kocha usingempanga. Naamini hukutazama mechi za Europa alizokuwa akipewa nafasi kuanza au kutokea benchi.Anyway, siku ile jamaa mbeya city spurs nilikua namuambia Bale anatakiwa aanze akasema siyo performer mzuri. Nilisema ukimuweka Bale, Son, Ndombele na Kane hiyo game moto unawaka.
Jose kabadili formation kampa chance Bale matunda anayaona.
Nasikia anatishiwa kufukuzwa
Process kama waliyoenda nayo kwa Bale ndiyo ningependa pia itumike kwa Lo Celso. Hakuna sababu ya kumharakisha. Kaanza mazoezi ila apewe dk chache kwenye mechi ndogo au pale mechi inapokuwa "imeuawa".Pongezi kwa Mourinho kwa kwenda naye taratibu mpaka amekuwa na full fitness.
Nimeangalia games alizoanza. Kuna double touch anazifanya ndani ya box huku akiwa anacheza dakika kumi za mwisho. Imagine aanze tangu mwanzo. This guy ni kibokoNaelewa unachomaanisha mkuu. Kila mtu, na hata Mourinho kasema juzi, anataka kuona Bale kama huyu. Kuanzia game 5 zilizopita kurudi nyuma ukitazama performance ya Bale hata ungekuwa wewe ndiye kocha usingempanga. Naamini hukutazama mechi za Europa alizokuwa akipewa nafasi kuanza au kutokea benchi.
Spurs iwekeze kwenye kununua wachezaji, bado haina quality ya kupigania makombe makubwa.Anyway, siku ile jamaa mbeya city spurs nilikua namuambia Bale anatakiwa aanze akasema siyo performer mzuri. Nilisema ukimuweka Bale, Son, Ndombele na Kane hiyo game moto unawaka.
Jose kabadili formation kampa chance Bale matunda anayaona.
Nasikia anatishiwa kufukuzwa
Unadhani angekuwa na quality ya leo toka awali Madrid wangemwachia?Nimeangalia games alizoanza. Kuna double touch anazifanya ndani ya box huku akiwa anacheza dakika kumi za mwisho. Imagine aanze tangu mwanzo. This guy ni kiboko
Ronaldo alivyoachiwa alikuwa flop?Unadhani angekuwa na quality ya leo toka awali Madrid wangemwachia?
Suala la fitness yake umelizingatia kweli. Hakuwa na uwezo hata wa kumaliza dk 60. Tangu msimu auanze kawa majeruhi angalau mara tatu. Hivyo process ilikuwa inaanza upya kila baada ya mechi mbili tatu.Nimeangalia games alizoanza. Kuna double touch anazifanya ndani ya box huku akiwa anacheza dakika kumi za mwisho. Imagine aanze tangu mwanzo. This guy ni kiboko
Mkuu Castr unajua inaniumiza sana kuona ukiikosa point ya suala la Bale. Huyu ni mchezaji ambaye hakupata enough game time kwenye misimu miwili iliyopita.Ronaldo alivyoachiwa alikuwa flop?
Casillas?
Navas?
Rodriguez?
Jovic?
Isco aliyemuweka benchi siku hizi ndiyo ST wake.
Ni basi tu kiburi cha makocha.
True this. Pamoja na kucheza vizuri jana kuna maeneo bado yako wazi. Mfano; jana unaweza dhani CAM alikuwa Sonny kumbe alikuwa Moura. Kwa kifupi Lo Celso huenda akashindwa kuziba pengo la Eriksen. Dele Alli auzwe tupate CAM mzuri.Spurs iwekeze kwenye kununua wachezaji, bado haina quality ya kupigania makombe makubwa.
Hoja inaungwa mkono, ila nina wasiwasi na biashara za Levy, ana biashara ngumu sana anaweza kuleta watoto wa academy ili waje wachipukie.Hii timu yule mjinga Levy akitupatia walau wachezaji watatu tu summer tunakuwa contenders wa vikombe vyote msimu ujao;
1. Left sided CB kuziba pengo la Jan Vertonghen. Hapa sitashangaa wakitelezea ganda la ndizi kwa Sergio Ramos on free transfer. Ramos atakuwa starter na back up zake Eric Dier na Joe Rodon.
2. Namba 8 mzuri. Tunahitaji kiungo mkabaji mchezeshaji mzuri atakayekuwa akimpa changamoto Ndombele kwenye midfield duo au akim-complement kwenye midfield trio. Nazungumzia mchezaji kama Marcel Sabitzer.
3. Namba 10. Tunahitaji mshambuliaji mchezeshaji akazibe pengo la Eriksen. Lo Celso ni injury prone na kakosa pre-season mbili zilizopita hivyo suala la kumjengea fitness limekuwa gumu na halihitaji haraka. Dele Alli auzwe.
Hapo hakuna timu itataka kucheza na sisi.
[emoji817]. Aiseee, yule bwana biashara zake ni tatizo. Katika makinda wote tulionao ni wawili tu wanapaswa kuwepo kikosi cha kwanza kwa mwenendo wa kocha.Hoja inaungwa mkono, ila nina wasiwasi na biashara za Levy, ana biashara ngumu sana anaweza kuleta watoto wa academy ili waje wachipukie.