Shedafa
JF-Expert Member
- May 21, 2008
- 802
- 175
- Thread starter
- #241
Asante sana mkuu, wala si utani. Hali ilionyesha vibaya, yaani hawa big 4 walikuwa tayari wamehasabu point kwa Spurs tayari. Na hasa hawa majirani zetu ngebe ilizidi, nimefurahi sana. Leo nina raha, kweli yaani we acha tu!Shedafa hongera sana, naona mmeodoa gundu la kufungwa na top 4.
