Tottenham Hotspurs Thread

Tottenham Hotspurs Thread

Du, kasheshe!
Modric kavunjika mguu sijui hata itakuwaje pale katikati!, lakini tutawapelekesha hivyo hivyo tu.
 
Du, kasheshe!
Modric kavunjika mguu sijui hata itakuwaje pale katikati!, lakini tutawapelekesha hivyo hivyo tu.

Sasa mnaona mngekubali dili la Man Utd mngekuwa na milioni 10 na mchezaji mwingine.
 
Sasa mnaona mngekubali dili la Man Utd mngekuwa na milioni 10 na mchezaji mwingine.

Hii sasa ndio nzuri, wale wenye tamaa wote wamekosa, tutamuuguza na akipona anabaki kuwa wetu. Hapo hapo tutaendelea kutoa dozi tu, kwa sanaaaaa!
 
Spurs mpo?
Kwenye msimamo wa ligi ni wangapi vile? Au ndo safari ya kurudi kwenye nafasi zenu imefika....
He..He..He.. au ndo nepi tayari nini?
 
Spurs mpo?
Kwenye msimamo wa ligi ni wangapi vile? Au ndo safari ya kurudi kwenye nafasi zenu imefika....
He..He..He.. au ndo nepi tayari nini?
Du mkuu, usiniangushe!, yaani mwana michezo mzima hujui ni timu gani ambazo mpaka sasa kazi yake ni kufunga tu. Nitakuhabarisha, hakuna zingine ni Spurs na Chelsea tu. Nyie gombaneni, sisi tunatoa kichapo tu. Mechi 4 point 12, max points.
 
Hapo Spurs naona kumekuwa kwa wa-Croatia sasa hehehe!!!
 
Du mkuu, usiniangushe!, yaani mwana michezo mzima hujui ni timu gani ambazo mpaka sasa kazi yake ni kufunga tu. Nitakuhabarisha, hakuna zingine ni Spurs na Chelsea tu. Nyie gombaneni, sisi tunatoa kichapo tu. Mechi 4 point 12, max points.

Mkuu unajua kujitetea ile mbaya..Big up! Kazeni buti.
 
....mna kelele sana nyinyi...angalau leo London kelele zinaishia darajani tu. Na bado, kuanzia sasa vipigo tu!

Mbona mmeufyata? Shedafa upo mgosi?
 
Nipo mgosi!
Ndio mambo ya mpira haya wala usikonde, Ila jamaa walituzidi kwa kila hali si utani. Namshangaa kocha wangu, ile si mechi ya kina Jenas na King. Sijui alipata mcheche gani?, ila nimekubali nimepigwa. Hongereni Man U!
 
Hii thread ndio inajifia taratiiibu, mwanzoni nilisema mkishaanza kufungwa basi ata morali nayo inaisha angalia mnachezea vichapo tuu sasa..Nyie washabiki wa Spurs bora mngeendelea kubaki makabatini tuu.
 
Nawaonea huruma sana Spurs maana defence yote majeruhi kuanzia Woodgate,Dawson na jana King.Kumchezesha yule dogo Bassong pamoja na njemba kama Anelka,Drogba ni kumsababashia matatizo
Kati napo tangu aumie Mondric timu imekufa kabisa
 
Wala msikonde, sisi wanamichezo bana! Tunajua kushinda na kushindwa, sio wale wanaolazimisha hadi dak ya 96 ili mradi washinde tu. Bado dhumuni letu la 4 bora liko pale pale.
 
Nawaonea huruma sana Spurs maana defence yote majeruhi kuanzia Woodgate,Dawson na jana King.Kumchezesha yule dogo Bassong pamoja na njemba kama Anelka,Drogba ni kumsababashia matatizo
Kati napo tangu aumie Mondric timu imekufa kabisa

Yeah hawa jamaa bila Modric ni weupe kati hapo.
 
Yeah hawa jamaa bila Modric ni weupe kati hapo.

Cheap excuses! Timu inawachezaji zaidi ya 25 kikosi cha kwanza kumia Luca Modric si sababu! Tottenham is not one man show club wadau....Palacios is doing the best he can!
 
Cheap excuses! Timu inawachezaji zaidi ya 25 kikosi cha kwanza kumia Luca Modric si sababu! Tottenham is not one man show club wadau....Palacios is doing the best he can!

Palacio ni defensive midfielder while Mondric ni attacking midfielder na anafunga magoli
 
Cheap excuses! Timu inawachezaji zaidi ya 25 kikosi cha kwanza kumia Luca Modric si sababu! Tottenham is not one man show club wadau....Palacios is doing the best he can!

Tangu Modric ameumia Spurs wamefunga goli moja tuu.
 
Spurs ndo wameishafika nepy zao zimeloana hapa ni kushuka kwenda mbele.Mashabiki naona wapo kabatini kwa mda wanachungulia hapa kama mende kabatini vile!
 
Du, afadhali nasi leo tupumue! Spurs 5 Barnley 0
 
Back
Top Bottom