Tottenham Hotspurs Thread

Freekick Blues' way...
Nusura Ramirez afunge...
Freeheader it was...
 
Counter attack...
Spurz miss three chances in row... What a bad luck? Thanks to Terry...
 
Its all over here in White Hart Lane...
Spurs 1 - 1 Chelsea
Bye bye till next time and usiku mwema...
 
It is so sad that we could't get 3 points, but we are still maintaining the league position,......and those wanaoiangalia spurs kwa jicho la husuda, wasage chupa........
 
wenye jicho la choyo wasage chupa wanywe, bado tupo juu!
 
Tottenham wanafunga katika dkk ya 55, 1-0
 
Mpira umeisha Spurs 2, Norwich 0. Salamu kwa jirani, ndio tunayeya hivyo!
 
Kama kizibo cha soda,mna haki ya kujidai kwa sababu soda bado iko dukani,ikishanunuliwa,kizibo kitaenguliwa na kutupwa kando!
 
Kama kizibo cha soda,mna haki ya kujidai kwa sababu soda bado iko dukani,ikishanunuliwa,kizibo kitaenguliwa na kutupwa kando!
Du, watu wana methali hawa!, lakini hazisaidii kinachotakiwa ni pale uwanjani. Mtaka msitake hamna timu ya kuchukua ubingwa msimu huu, maneno ya hekima, methali na vitendawili vitakuwa vingi lakini havisaidiii kazeni buti uwanjani.
 
Du, watu wana methali hawa!, lakini hazisaidii kinachotakiwa ni pale uwanjani. Mtaka msitake hamna timu ya kuchukua ubingwa msimu huu, maneno ya hekima, methali na vitendawili vitakuwa vingi lakini havisaidiii kazeni buti uwanjani.
Haya bwana ninyi wenye kikosi cha ubingwa,tuombe uhai mpaka may halafu kila mtu aje na karatasi yenye point zake.
 
Haya bwana ninyi wenye kikosi cha ubingwa,tuombe uhai mpaka may halafu kila mtu aje na karatasi yenye point zake.
Najua ukweli unauma, lakini huo ndio ukweli hamna timu ya kuchukua ubingwa msimu jiandaeni na msimu ujao. Kwa jinsi navyomjua yule babu yenu ndio kwanza atauza wachezaji badala ya kununua.
 
Najua ukweli unauma, lakini huo ndio ukweli hamna timu ya kuchukua ubingwa msimu jiandaeni na msimu ujao. Kwa jinsi navyomjua yule babu yenu ndio kwanza atauza wachezaji badala ya kununua.
Nimekupata bingwa mtarajiwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…