Nalazimika kukubaliana na wewehakuna timu duniani isiyoshinda kwa magoli ya hovyo ma refa ni binadamu madrid misimu mi 3 ya nyuma amekuwa mzur sana uefa hakuna timu iliyokuwa kwenye ule ubora ulaya nzima.
Kwishney madrid mbwa waleNdio safi, kipara zidane anakenuaga sana kajisahau pale ukiteleza kidogo kaz huna
[HASHTAG]#spurs[/HASHTAG]Sasa naona hapa Madrid kwisha habari Yao.
Tottenham 3- 0 Real Madrid. 66'
Mechi ijayo anakipiga na las palmas la liga kule napo anaweza akakaliaKwishney madrid mbwa wale
Pamoja mkuuYa.. naona hali ishakuwa ngumu..
Haha but Mimi si Shabiki wa Madrid.
Tupe pongezi zetu mkuuhii timu hata siielewagi inashindania nini hadi muda huu hata carabao cup hawawezi kubeba ajabu nayo inahesabiwa kama timu ngumu level za wakina west ham tu
Hiyo ndio wembley stadium karibuni tena kwa kichapoDaah
Ahahah.... Mzee yule ni filipo inzaghi mpyaaVipi Cr7 kashazeeka...?
AU ndio tayari kawa Filpo inzagh.
Ndio ndio.Ahahah.... Mzee yule ni filipo inzaghi mpyaa
Aisee man city wapo onfireee.EPL juu, man city nae kakalisha mtu 2-4 huko
Tunashukuru sana mkuu kwa pongezi hiziBravo totenham
To Put pressure on.....hii timu hata siielewagi inashindania nini hadi muda huu hata carabao cup hawawezi kubeba ajabu nayo inahesabiwa kama timu ngumu level za wakina west ham tu
Naona mnajipa moyo ila ndio safari tumeianza subiri muoneTo Put pressure on.....
Hio ndo kazi yao amn kingine cha zaid mkuu makombe kwa hapanaa[emoji2] [emoji2] [emoji2]