Hapo sijatafsiri mafanikio kama mapato ambayo klabu imeingiza. Kama shabiki, mafanikio ni kile kinachovunwa kutoka uwanjani, vikombe. Kwa shabiki wa Spurs ambayo ina kikombe kimoja tu cha kombe la ligi kwa miaka 20 iliyopita ni aheri timu ishiriki kikombe kisicho na ushindani mkubwa na ikakibeba kuliko kwenda michuano migumu isiyoshindika kirahisi (assumption ni kwamba hawatafanya squad overhaul dirisha hili hivyo huenda wasiwe na kikosi kilichoshiba).Tafuta ulinganifu wa alichopata Tottenham kuingia finals UEFA vs alichopata Chelsea kwa kushinda Europa.
Utabadili haya mawazo.
Tupo mazee.Wapi team COYS
Haya maandishi huwa hayafutiki mzee. Misimu miwili ijayo naamini ukiirejea hii post yako mwenyewe utaguna, mmmh.Oyaa kikundi kinginee cha Vibakaaa...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wasalimieni Arsenal...Chelsea na taka taka zingineee salamu kutoka Man u
Sasa ni dhahiri tutakuwa na ingizo jipya golini. Hii ni baada ya Michael Vorm kuaga rasmi.Ligi ndiyo hiyo imeisha na angalau tutacheza kombe ambalo Jose kasema kufuzu maana yake kulibeba tayari! Kacheza mara mbili na kalibeba mara hizo. Kwa maneno yake mwenyewe kasema siyo mbaya kushiriki kwa mara ya 3 na kulibeba kwa mara hiyo.
Siyo mbaya. Kipi bora? Kushiriki UCL na kuishia fainali au kushiriki UEL na kulibeba? Mafanikio hupimwa kwa vikombe na si idadi ya fainali ulizocheza.
Natarajia kutakuwa na sura mpya dirisha hili la msimu wa korona. Binafsi nadhani kuna maeneo yafuatayo yanahitaji uwekezaji.
1. CD. Hapa tuna Dier, Sanchez, Tanganga, Toby na Foyth. Super Jan anaondoka. Pia inaonesha kocha hajamkubali dogo Foyth. Eric Dier kasaini mkataba mpya kwa sharti la kucheza kama CB. Napendekeza anunuliwe CB mnyumbulifu wa kuimarisha safu ya ulinzi.
2. DM. Hapa tayari dogo Oliver Skipp kasaini mkataba wa kudumu mpaka 2024. Hata hivyo bado tunahitaji holding midfielder wa kuziba nafasi iliyoachwa wazi na Wanyama/Dier. Hapa nadhani apatikane mkongwe wakati dogo Skipp anaendelezwa mdogo mdogo.
Kwenye DM's wanyumbulifu nadhani Sissoko angeuzwa tu. Nafasi yake ichukuliwe na Sergej Milinkovic Savic wa Lazio. Akawaongezee nguvu Ndombele, Gedson, Winks, na Lo Celso.
3. RW. Hapo Lamela atoswe tupate ingizo jipya umri na calibre ya Steven Bergwijn. Hivyo tutakuwa na Sonny/Bergwijn kwenye LW. RW tutakuwa na Moura na hilo ingizo jipya.
3. No. 10. Hapa kwenye namba 10 tunaye Lo Celso tayari ambaye kimsingi ndiye mbadala wa Eriksen. Wasiwasi wangu ni "The Dele Alli problem" kama anavyosemaga Mourinho. Dele hawezi mbenchi Lo Celso nyuma ya ST. Dele kukaa benchi kutapelekea chokochoko kutoka kwa English media. Ningekuwa Mourinho ningemuuza tu na pesa hiyo plus ile ya Lamela ningenunulia winger mzuri wa kulia.
4. FB. Suala la full backs liko wazi. Ssengnon hawezi kuwa full back karibuni. Anaweza zaidi kama wingback na Mourinho angependa full back. Hivyo ni ama auzwe Ben Davies au dogo C
Sess. Suala la kuleta mabeki wapya kulia na kushoto ni la lazima hslihitaji mjadala.
5. ST. Hapa itategemea na ikiwa Kane ataondoka au laa. Nimesikia tunamnyatia Zaniolo wa AS Roma japo kocha wao kakanusha.
Ngoja tusubiri tuone.
Sisi ndo watabeee...!!Haya maandishi huwa hayafutiki mzee. Misimu miwili ijayo naamini ukiirejea hii post yako mwenyewe utaguna, mmmh.
Watabe miaka 7 bila ubingwa! Wa pili kwa spending! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Noma sana. Uzuri wake Ed Woodwork anawajua vema mashabiki wake. Anajua lini awang'ate na lini awapulize.Sisi ndo watabeee...!!
Msimu ujao ubingwaa lazimaa...!! Unamjuw Bruno wewe kijanaa....Watabe miaka 7 bila ubingwa! Wa pili kwa spending! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Noma sana. Uzuri wake Ed Woodwork anawajua vema mashabiki wake. Anajua lini awang'ate na lini awapulize.
Bruno yule wa penati [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Akikutana na huyu bwana ameisha.Msimu ujao ubingwaa lazimaa...!! Unamjuw Bruno wewe kijanaa....
Ubingwa mtachukua mkiwa na winger gani upande wa kulia? Lingard, Mata au mwanariadha Daniel James. Na beki wenu kushoto bado atakuwa Luke Shaw yule anayefanya muonekane Magwaya mlipigwa ee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Msimu ujao ubingwaa lazimaa...!! Unamjuw Bruno wewe kijanaa....
Hayo sisi hatujuii tunachojuaa tunabeba ubingwaaa....Ubingwa mtachukua mkiwa na winger gani upande wa kulia? Lingard, Mata au mwanariadha Daniel James. Na beki wenu kushoto bado atakuwa Luke Shaw yule anayefanya muonekane Magwaya mlipigwa ee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja tusubiri tuone mtaishia wapi.Hayo sisi hatujuii tunachojuaa tunabeba ubingwaaa....
Mourinho hata akiwa Man Utd aliwatumia vijana kama Jesse Lingard, Lindlof na hata alivyoanza kumchezesha McTominay mashabiki walikuja juu eti anachezesha watoto wasiojua mpira. Hivi kuna anayekumbuka ile namna ya Lingard ya kushangalia magoli iliishia wapi?Mdogo mdogo mpaka tutatoboa. Hapo wasiojua mpira bado utasikia "Ooh, Mourinho hapendi makinda". Sasa alianza dogo Skipp (holding midfielder) na sasa ni Japhet Tanganga. Huyu debut yake ilikuwa kwenye game na Looserpools na Mane na Mo Salah wanaifahamu vema kazi yake. Suka kikosi bwana Jowzey.
#COYS
Hui ni ukweli ambao mashabiki wengi hawana vifua vya kuuhimili. Jamaa alijibu vema hilo swali hivi karibuni. Kwamba ni kweli anapendelea kufanya kazi na wachezaji wenye umri mkubwa? Kajibu kwamba yeye hupendelea mchezaji mwenye ukomavu wa kiakili, haijalishi umri wake.Mourinho hata akiwa Man Utd aliwatumia vijana kama Jesse Lingard, Lindlof na hata alivyoanza kumchezesha McTominay mashabiki walikuja juu eti anachezesha watoto wasiojua mpira. Hivi kuna anayekumbuka ile namna ya Lingard ya kushangalia magoli iliishia wapi?