Tottenham Hotspurs Thread

Usitufokee, yaani game ulishindwa lakini una courage ya kuongea kama ulishinda. Mkikaa vibaya Mou anawatungua mchana kweupe.
Kwa kikosi chetu Chelsea ngumu sana kutufunga. Ni mwendo wa kuwapa konzi tu. Ona washaanza kusema ushindi wa penati! Kama vile penati siyo goli!
 
Sahihi kabisa. Ishu ninayoiona hapo ni unfitness ya viungo wetu wachezeshaji yaani Lo Celso na Ndombele. Wote hao hawakuwa wazuri sana kwenye hizo mechi, hasa Lo Celso. Pia Sissoko hufanya timu ife kuanzia kwenye nafasi yake kwenda mbele, quality yake ni average sana.

Vile vile hao wapinzani wetu walikuwa very compact kiulinzi.
 
Hakuna timu yenye forward moto kama hii huko England msimu huu, so sema lingine
Kweli ila namba 10 wetu wote (Ndombele na Gio) hawakucheza vizuri sana mechi chache zilizopita hivyo kupunguza ile attacking threat.
 
[emoji187] By contrast, to Gedson, Carlos Vinicius - another loanee from Benfica - has already racked up four appearances. José says he will get more of a chance to play than Gedson.

[emoji2788] "Vinicius is different. He arrived and his space is obvious. We have two strikers, we don't have three, four or five, and he is one of the two."
--
[emoji2788] "The other is one of the three best strikers in the world and that creates him a difficult situation, but you can play both together, there are games in which you will do it."
--
[emoji2788] "Alternation is important because Harry [Kane] cannot play all the games. Vinicius will play many times, he will have the opportunity to prove in the Premier League and convince Tottenham to buy him."
--
[emoji2788] "If it doesn't, he will return to Benfica a lot richer and a lot more complete. This operation is good for the three parties."
 
Nakubaliana nawewe kwa point zote 3 ulizosema. Unfitness ya lo celso na ndombele yaweza kuwa sababu. Pia sissoko mzito sana anapooza mashambulizi. Kwa upande wa attackers hilo ni wazi kuwa attacking force yetu ni kali zaidi epl.
 
Nakubaliana nawewe kwa point zote 3 ulizosema. Unfitness ya lo celso na ndombele yaweza kuwa sababu. Pia sissoko mzito sana anapooza mashambulizi. Kwa upande wa attackers hilo ni wazi kuwa attacking force yetu ni kali zaidi epl.
Issue ya Sissoko inanaweza pia kuonekana kwenye performance rating ya game ya Westbrom. Ukiangalia hii screenshot hapa chini utaona uhai wote wa timu ulikuwa unaishia pale mpira unapoingia kwenye zone yake, yaani mbele kidogo ya Hojbjerg.

Naamini Ndombele ndiye anapaswa kucheza pale na Lo Celso naye acheze mbele yake kwenye no. 10. Kisha Kane kama anavyocheza siku hizi anarudi nyuma kidogo ili kuwavuta central defenders waache open spaces za kumpenyezea Sonny.

Msimu huu watu wanaweza baki midomo wazi mwishoni.
 
Haya haya kumekucha na makucha yake tena. Ni palepale N17 kwenye kiwanja bora zaidi cha soka ulimwenguni.

Yep, ni palepale Tottenham Hotspur Stadium. Je, Pep atakubali kipigo cha pili mfululizo kutoka kwa mpinzani wake mkuu?

Ikumbukwe kuwa tuliwapiga City goli 2 bila majibu kwenye game iliyojaa drama kibao kama vile penati matata va VAR na save ya captain Lloris.

Ni saa 2:30 usiku leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…