Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
- Thread starter
-
- #61
Bao la pili beki wa Bournemouth alimbabatiza Kane naye akatoa pande kwa Son Heung akawazidi mbio na akapiga shuti ya chini chini kipa wala hakuangaika kuufuata mpira nyavu zikacheka