Tottenham yamtimua Pochettino na benchi lote la ufundi. Jose Mourinho ateuliwa kuinoa Klabu hiyo

Tottenham yamtimua Pochettino na benchi lote la ufundi. Jose Mourinho ateuliwa kuinoa Klabu hiyo

Klabu ya Tottenham Hotspurs imemfuta kazi Kocha wake Mauricio Pochettino mwenye miaka 47, baada ya kuiongoza timu hiyo kwa miaka mitano

Taarifa ya timu inasema matokeo ya mwishoni kwa ligi za ndani msimu uliopita na matokeo ya msimu huu si ya kuridhisha

Pochettino aliyeiongoza timu hiyo kufika Fainali ya Klabu Bingwa msimu uliopita, ameondoka klabuni hapo pamoja na Msaidizi wake, Jesus Perez huku Wakufunzi wengine, Miguel d'Agostino na Antoni Jimenez nao wakiondoka klabuni hapo


UPDATE
Jose Mourinho amechaguliwa kuwa Kocha Mkuu wa Klabu ya Tottenham Hotspurs ya England hadi mwisho wa msimu 2023

Kocha huyo wa zamani wa Klabu za Manchester United na Chelsea za England pia anachukua nafasi ya Mauricio Pochettino

******

Tottenham have sacked head coach Mauricio Pochettino after five years in charge of the Premier League club.

The former Southampton boss, 47, was appointed in May 2014 and led the club to the Champions League final last season, where they lost to Liverpool

But Spurs have made a disappointing start to the current campaign and are 14th in the Premier League.

"We were extremely reluctant to make this change," said Spurs chairman Daniel Levy.

"It is not a decision the board has taken lightly, nor in haste. Regrettably domestic results at the end of last season and beginning of this season have been extremely disappointing.

"It falls on the board to make the difficult decisions - this one made more so given the many memorable moments we have had with Mauricio and his coaching staff - but we do so in the club's best interests."

Pochettino's assistant Jesus Perez, and coaches Miguel d'Agostino and Antoni Jimenez have also left the club.

Tottenham said in a statement that they would provide an update on new coaching staff "in due course".

Pochettino guided Tottenham to the League Cup final in his first full season while two third-placed finishes sandwiched a runners-up spot in the Premier League in 2017.

UPDATES
Jose Mourinho has been named Tottenham head coach until the end of the 2023 season. The former Manchester United and Chelsea boss replaces Mauricio Pochettino, who was sacked on Tuesday.

Negotiations between Spurs and Mourinho - who had been out of work since leaving Old Trafford in December - intensified over the last few days and concluded in the early hours of Wednesday morning.
Mourinho atamaliza mwaka pale Tottenham? Nina mashaka makubwa.

Hii ni ndiyo ya ajabu sana. Mourinho anapenda club zenye uwezo wa kutumia pesa kuwanasa mastaa anaowahitaji kwa udi na uvumba. Kinyume cha hapo inakuwa nongwa. Ilikuwa moja ya sababu ya kuondoka Man U. Hawakuweza kutimiza kila hitaji lake na yeye alichangia kusajili vimeo kadhaa.

Upande mwingine, Kiongozi wa Tottenham Daniel Levy ni Mpare wa Uingereza. Anapenda kutumia kidogo kununua wachezaji lakini aweze kuwauza pakubwa baadaye. Si mshindani kwenye soko la kununua. Ni ngumu kutoa pesa na bila shaka Mourinho atakuwa frustrated ndani ya miezi kadhaa hasa msimu wa joto wakati wa usajili.

Ili ndoa ifanye kazi, mmoja lazima akubali kufuata ya mwenzie. Ama Mourinho akubali kufanya kazi na bahili Levy au Tottenham wakubali kumwaga pesa ili wachukue kombe la EPL au Champions League. Sioni mmoja wao akikubali kirahisi kuacha misingi yake.
 
Goodluck to Morinho
Tunamsubiri Stamford bridge aje achezee kichapo
 
Kuanzia leo mie ni shabiki wa tott na united....sadly!!😔
 
Mkuu unauliza kama utawala wa Mourinho utarudi! Kwani utawala wake uliwahi kuondoka?
Baada ya jana Pochetinho kutupiwa virago jana pale White Hartlane, anaetajwa kuchukuwa mikoba ni the special one; najiuliza kwa vipaji vilivyosheni pale Spurs, je Mourinho akitua ndio mwisho wa utawala wa Klopp na Gurdiola pale EPL? Squad ya Spurs ni bora kuliko ya Man Utd, Liver, Arsenal wala Lecester City, na Guardiola pale City anaonekana kachoka.

Je, utawala wa Mourinho utarudi?

Ngoja tuone Spurs ya Mourinho itakavotawala EPL kwa misimu mitatu ijayo!
 
Baada ya jana Pochetinho kutupiwa virago jana pale White Hartlane, anaetajwa kuchukuwa mikoba ni the special one; najiuliza kwa vipaji vilivyosheni pale Spurs, je Mourinho akitua ndio mwisho wa utawala wa Klopp na Gurdiola pale EPL? Squad ya Spurs ni bora kuliko ya Man Utd, Liver, Arsenal wala Lecester City, na Guardiola pale City anaonekana kachoka.

Je, utawala wa Mourinho utarudi?

Ngoja tuone Spurs ya Mourinho itakavotawala EPL kwa misimu mitatu ijayo!
Inaonekana huwa unaota ukiwa unatembea mkuu
 
Ni nguvu ya soko na fedha ndio inamrudisha Morinyo epl ila kimpira tot inaenda kuwa ya kuweka basi tu foleni wakati wa poch walikuwa wanafunguka hadi raha
Toka Mourinho ashindwe pale OT hana jipya kwenye ulimwengu wa footbal, angeingia timu za taifa au awe mchambuz pale Sky sport tu
 
Klabu ya Tottenham Hotspurs imemfuta kazi Kocha wake Mauricio Pochettino mwenye miaka 47, baada ya kuiongoza timu hiyo kwa miaka mitano

Taarifa ya timu inasema matokeo ya mwishoni kwa ligi za ndani msimu uliopita na matokeo ya msimu huu si ya kuridhisha

Pochettino aliyeiongoza timu hiyo kufika Fainali ya Klabu Bingwa msimu uliopita, ameondoka klabuni hapo pamoja na Msaidizi wake, Jesus Perez huku Wakufunzi wengine, Miguel d'Agostino na Antoni Jimenez nao wakiondoka klabuni hapo


UPDATE
Jose Mourinho amechaguliwa kuwa Kocha Mkuu wa Klabu ya Tottenham Hotspurs ya England hadi mwisho wa msimu 2023

Kocha huyo wa zamani wa Klabu za Manchester United na Chelsea za England pia anachukua nafasi ya Mauricio Pochettino

******

Tottenham have sacked head coach Mauricio Pochettino after five years in charge of the Premier League club.

The former Southampton boss, 47, was appointed in May 2014 and led the club to the Champions League final last season, where they lost to Liverpool

But Spurs have made a disappointing start to the current campaign and are 14th in the Premier League.

"We were extremely reluctant to make this change," said Spurs chairman Daniel Levy.

"It is not a decision the board has taken lightly, nor in haste. Regrettably domestic results at the end of last season and beginning of this season have been extremely disappointing.

"It falls on the board to make the difficult decisions - this one made more so given the many memorable moments we have had with Mauricio and his coaching staff - but we do so in the club's best interests."

Pochettino's assistant Jesus Perez, and coaches Miguel d'Agostino and Antoni Jimenez have also left the club.

Tottenham said in a statement that they would provide an update on new coaching staff "in due course".

Pochettino guided Tottenham to the League Cup final in his first full season while two third-placed finishes sandwiched a runners-up spot in the Premier League in 2017.

UPDATES
Jose Mourinho has been named Tottenham head coach until the end of the 2023 season. The former Manchester United and Chelsea boss replaces Mauricio Pochettino, who was sacked on Tuesday.

Negotiations between Spurs and Mourinho - who had been out of work since leaving Old Trafford in December - intensified over the last few days and concluded in the early hours of Wednesday morning.
nategemea kuiona Tottenham yenye kiwango bora kabisa
 
Mourinho hawez kutua spurs sababu vision za mmiliki na yeye ni tofaut mwenye timu nahili haamini katika
Kuvunja bank kuleta mapro. Mourinho anataka timu yenye kutenga fungu lolote atakalo
wewe jamaaaa hovyo kweli
 
Ki ukweli, mi binafsi sioni makubwa kwenye Spurs ya Mourinho, kama alirudi Chelsea akazingua, Man akazingua sidhani kama Spurs atakuwa na jipya.
Man alizingua vipi wakati alichukua Europa na League Cup?
 
Back
Top Bottom