Toubaaa akina mama mnatuibia jamani, punguzeni mnatumaliza!

Nguvu moja

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2017
Posts
3,371
Reaction score
2,713
Chanzo ya yote hii michepuko, mpaka mnabambikia waume zenu watoto wa nje, siku ya mwisho mtasema nini sir god, akina mama mnatuua ua ua ua uaaaa!
 
Inasikitisha sana...

Sometimes hata mama mwenyewe hana uhakika na yupi baba halisi wa mtoto, kwa matendo yake...

Ukisikia tu unaambiwa, kama umeikataa mimba, nitamlea mwanangu mwenyewe, alafu ole wako uje kumulizia mtoto... Ujue hata mama mwenyewe hana uhakika...

Cc: mahondaw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…