Tough time never last, tough people do! January Makamba is a tough man

Tough time never last, tough people do! January Makamba is a tough man

Mtu wa Asali

Senior Member
Joined
May 9, 2022
Posts
152
Reaction score
292
Nakumbuka Mwaka 1970 Wafanyakazi wa Shirika la reli waligoma kisa tu Viongozi walikuwa wanapata mkate wenye siagi na wao walikuwa wanakunywa chai na mkate. [emoji23][emoji23][emoji23] solution la dai lao walitaka Wafanyakazi wote wanywe chai na mkate bila siagi wawe sawa instead ya kuomba waongezewe na wao wapate mkate wenye siagi.

Akili zetu hizi hazijabadilika hadi leo, hizi akili zilijidhihirisha awamu ya tano tukafundishwa kuchukia wenye neema sisi wenye dhiki tukajiona tu na haki ya firdausi ya nchi ni mali yetu absurdity kabisa.

Kwanini leo nisimame na January Makamba kwa kaliba yake amekulia kwenye siasa mara nyingi ameelezea historia ya mapitio ya maisha yake tangu utoto.

Amekuwa exposed kwenye dhiki na Faraja kote huku amepitia uzuri wake ni good brain anakumbuka wapi ametoka. Wengi tunaweza kuwa tumesoma naye au kukua naye kwenye mapitio haya.

Watanzania tuna shida kubwa sehemu tunajilimbikizia mateso ni mabingwa wa first sight communication taarifa ya kwanza tu tunayoipokea ndiyo taarifa sahihi hatuna wakati wa kuchimba zaidi. Tumekuwa kizazi chenye taarifa nyingi lakini hatuna uelewa nazo au ufahamu.

Kosa la January ni kuwa na akili kuwa visionary leader alipokabidhiwa wizara tukampima bila kuangalia utendaji alipotuambia ukweli kuhusu hali ya Tanesco tukamuona kama amebeba chuki kwa Serikali ya awamu ya Tano.

January si mtu wa visasi na vinyongo ni aina ya viongozi ambao wamekuzwa kwenye maadili ya uongozi. Amepita makuzi kwa Mzee Mkapa, Mzee Kikwete, Mzee Kinana, Mzee Nnauye. Watu wanashindwa kufahamu chuki hutengenezwa na watu wanaowazunguka viongozi Magufuli alifundishwa kumchukia January mtu aliyetakiwa kumfanya mshauri wake hakumtaka akamsukuma nje. Akaaanza kutengeneza Jeshi lake mwenyewe ambalo lilimfunga macho.

Akili ya January ilimpa utulivu. Watu wenye akili huonekana kwenye vipindi vigumu vya maisha au namna wanavyoyatatua matatizo kuna msemo unasema tough times never last but tough people do. He was calm kwenye situation ngumu kama ile aliona hata kujiweka kwenye public kungemuongezea uhasama zaidi alijificha mbali na uso wa Dunia.

Akili ya January ilimtenga na kelele za Comparison na mtangulizi wake kwenye Nishati watu wakaanza kumfananisha January na kalemani utendaji wao haya yalikuwa makosa ya karne na karne. Hili hakikumuondoa kwenye planning zake kuijenga upya Tanesco atleast now shirika linaendeshwa kisasa na kazi inaonekana.

Kosa la January ni lipi? Vijana wote tunatamani kuwa kama yeye. Tunatamani utulivu wake kwenye utendaji wa kazi. Tunamuonea wivu tunaona hatuwezi kufika alipofika tumechelewa kwenye utendaji tunaanza kupika majungu, tunaanza kutengeneza maruhani aaah wapi yule mpigaji tu, Inahitaji akili kuja na Program kuendesha serikali unless tutakuwa watu wa mapambio.

Let him be. Master wa mchezo wa karne hii.
 
Visionary leader aliyeiba mitihani akafutiwa matokeo, only in Tanzania.

Tuna taifa la ajabu sana, watu wenye mawazo kama ya mleta mada ndio wanajiona vichwa.

Acha kukaa kijiweni kwa ujugu unazeeka sasa.
 
Kama sio Jakaya kumpa fursa ya kuwa mwandishi wa hotuba zake.

Leo hii angekua Lumumba buku saba kama kina sie hapa.
 
images (85).jpeg
 
Visionary leader aliyeiba mitihani akafutiwa matokeo, only in Tanzania.

Tuna taifa la ajabu sana, watu wenye mawazo kama ya mleta mada ndio wanajiona vichwa.
Kumbeee kweli visionary wa mchongo
 
Acha kukaa kijiweni kwa ujugu unazeeka sasa.

Januari yeye binafsi pamoja na nyie wapambe wake huwa mnaamini ni mtu smart sana, lakini historia yake haionyeshi kama mtu tafu, bali mtegemea mbeleko ili kufika hapo alipo. Labda useme ni mwenye bahati ya kupata madaraka kwa namna yoyote ile, ila sio tough au smart kama mnavyotamani tuamini kuwa yuko hivyo.

Halafu nikusaidie kitu, huyo jamaa uko naye karibu, mwambie sio lazima ategemee kuishi kwa kupitia madaraka, hasa madaraka yenyewe anapokuwa anayepata kwa wizi wa kura. Kama ni smart kweli akajiajiri ili tuone huo usmart wake.
 
Januari yeye binafsi pamoja na nyie wapambe wake huwa mnaamini ni mtu smart sana, lakini historia yake haionyeshi kama mtu tafu, bali mtegemea mbeleko ili kufika hapo alipo. Labda useme ni mwenye bahati ya kupata madaraka kwa namna yoyote ile, ila sio tough au smart kama mnavyotamani tuamini kuwa yuko hivyo.
Kwa ufupi ni mtu mwepesi kutumika/ kutumwa na wenye uchu wa kujilimbikizia mali
 
Makamba is not only tough also is Giant
1)Amezaliwa kwenye chimbuko la siasa na amepita kwenye mikono ya wakongwe wa siasamf mzee mkapa na JK
2)Amefanya kazi kwenye mashirika yakimataifa yaliyofanya kazi nchini kama m2 wa serikali in blanket
3)Kafanya kazi ikulu kama msaidizi wa Rais na mwandishi wa hotuba za Rais
4)Kafanya kazi kwenye chama tawala na kujifunza mengi huko
5)Na sasa yupo kwenye siasa baada yakuandaliwa kama mbunge na waziri
6)Ni kweli hana chuki wala kinyongo maana binafsi zilizani Musiba atapata taabu sana alimwandama kwa kashifa nyingi sana kipindi kile cha ajabu wala hajawahi kumzungumzia Musiba kwa hilo big up kwake
Kosa la makamba anarudia makosa ya mzee JK kusikiliza washikaji na kuwalinda washikaji.Ambao wanamwalibia
Wakati anaingia wizara ya Nishati bwawa la Nyerere lilikuwa hot sanaa alitakiwa iwe key point yake na ahakikishe ziara za kutosha na kutoa mrejesho ili kulinda imani kwa wananchi ambayo marehemu na mtangulizi wake waliwapa wananchi.Badala yake akaingizwa mkenge miundombinu ili watu wapige hela na kuuza gesi maana kukamilika kwa SGR ni mwiba kwa soko la gesi matokeo yake amebaki kwenye dilema(kwa washikaji au wananchi) anapoandamwa na maswali anabakia kutoa majibu ambayo hayakidhi kiu ya wananchi
Akiachana na ushikaji na kuwalinda washikaji He is a good leader maana amepikwa na akapikika N.B Huwezi kuazisha vita na makamba na ukashinda kila nyanja kaiva ni type za kina Membe
 
Kuna mawaziri 5, kamba akiwemo ninawashtaki Kwa MUUMBA, by December waondolewe ktk nafasi zao.
 
Back
Top Bottom