Tough time never last, tough people do! January Makamba is a tough man

Tough time never last, tough people do! January Makamba is a tough man

Makamba is not only tough also is Giant
1)Amezaliwa kwenye chimbuko la siasa na amepita kwenye mikono ya wakongwe wa siasamf mzee mkapa na JK
2)Amefanya kazi kwenye mashirika yakimataifa yaliyofanya kazi nchini kama m2 wa serikali in blanket
3)Kafanya kazi ikulu kama msaidizi wa Rais na mwandishi wa hotuba za Rais
4)Kafanya kazi kwenye chama tawala na kujifunza mengi huko
5)Na sasa yupo kwenye siasa baada yakuandaliwa kama mbunge na waziri
6)Ni kweli hana chuki wala kinyongo maana binafsi zilizani Musiba atapata taabu sana alimwandama kwa kashifa nyingi sana kipindi kile cha ajabu wala hajawahi kumzungumzia Musiba kwa hilo big up kwake
Kosa la makamba anarudia makosa ya mzee JK kusikiliza washikaji na kuwalinda washikaji.Ambao wanamwalibia
Wakati anaingia wizara ya Nishati bwawa la Nyerere lilikuwa hot sanaa alitakiwa iwe key point yake na ahakikishe ziara za kutosha na kutoa mrejesho ili kulinda imani kwa wananchi ambayo marehemu na mtangulizi wake waliwapa wananchi.Badala yake akaingizwa mkenge miundombinu ili watu wapige hela na kuuza gesi maana kukamilika kwa SGR ni mwiba kwa soko la gesi matokeo yake amebaki kwenye dilema(kwa washikaji au wananchi) anapoandamwa na maswali anabakia kutoa majibu ambayo hayakidhi kiu ya wananchi
Akiachana na ushikaji na kuwalinda washikaji He is a good leader maana amepikwa na akapikika N.B Huwezi kuazisha vita na makamba na ukashinda kila nyanja kaiva ni type za kina Membe
Tunata bwawa la umeme likamilike
 
Jifunze kitu; (mtoa mada haikuhusu hii)

Jamaa kaandika kila kitu, yaani ni aina ya wale kama wanalipwa hivi ili kumboost mtu.

Ukitaka kujua hilo, angalia replies za wadau wengine na yeye kaziingilia kwa kuwajibu wadau kwa jabza kali hadi matusi.

Hii siyo sahihi kwa mtoa mada kudhani kila mtu anamfaham huyo February, hapa tunataka kizazi kilichokulia kwenye mfumo na kisichobebwa au kukulia kwa baba na mama wahasibu basi lazima mtoto awe mhasibu.

Hii ni nchi ya wote although inaonekana haina mzawa, yeyote kutoka nje anaweza kuongoza.
 
Wenye nchi yenu bwana mnajuana vizuri ningeamini hilo Kama tu mzee wake asingekua miungoni wa watu waliowahi kushika nyadhfa kubwa au kwa lugha rahisi amejiibua yeye kwa juhudi zake binafsi Kama kina zitto lakini hawa watoto wa kina MAKAMBA.mwinyi kikwete
Nyerere,sokoine ni wanatekeza tu.
 
Wenye nchi yenu bwana mnajuana vizuri ningeamini hilo Kama tu mzee wake asingekua miungoni wa watu waliowahi kushika nyadhfa kubwa au kwa lugha rahisi amejiibua yeye kwa juhudi zake binafsi Kama kina zitto lakini hawa watoto wa kina MAKAMBA.mwinyi kikwete
Nyerere,sokoine ni wanatekeza tu.
Zitto mama ake alikuwa mwenyekiti wa chama cha walemavu Tz na alikuwa mjumbe wa bunge la katiba hakuwa m2 mdogo kama unavyodhani may usemi Sugu ndo katoboa kwa juhudi binafsi
 
Wenye nchi yenu bwana mnajuana vizuri ningeamini hilo Kama tu mzee wake asingekua miungoni wa watu waliowahi kushika nyadhfa kubwa au kwa lugha rahisi amejiibua yeye kwa juhudi zake binafsi Kama kina zitto lakini hawa watoto wa kina MAKAMBA.mwinyi kikwete
Nyerere,sokoine ni wanatekeza tu.

Zitto asingefika hapo alipo Mama yake Bi shida Salim alikuwa mjumbe wa kamati kuu Chadema. Haya tuendelee.
 
Jifunze kitu; (mtoa mada haikuhusu hii)

Jamaa kaandika kila kitu, yaani ni aina ya wale kama wanalipwa hivi ili kumboost mtu.

Ukitaka kujua hilo, angalia replies za wadau wengine na yeye kaziingilia kwa kuwajibu wadau kwa jabza kali hadi matusi.

Hii siyo sahihi kwa mtoa mada kudhani kila mtu anamfaham huyo February, hapa tunataka kizazi kilichokulia kwenye mfumo na kisichobebwa au kukulia kwa baba na mama wahasibu basi lazima mtoto awe mhasibu.

Hii ni nchi ya wote although inaonekana haina mzawa, yeyote kutoka nje anaweza kuongoza.

Ukilipwa wewe inatosha.
 
Visionary leader aliyeiba mitihani akafutiwa matokeo, only in Tanzania.

Tuna taifa la ajabu sana, watu wenye mawazo kama ya mleta mada ndio wanajiona vichwa.
Mm nilifutiwa mitihani na tukarudia lakini sikuhusika na wizi wa mitihani ile. Bahati nzuri nilikuja kufail
 
Mtu aliyebebwa maisha yake yote unamuita tough? Amefight wapi ?

kuna kubebwa na kukuzwa, kwa hiyo unataka watu wasikuzwe kwa ajili ya kulitumikia Taifa? JM amekuzwa kuwa kiongozi na kutumikia Taifa.

Mnyika, ZZK, Mdee nk wamekuzwa na FAM kuwa wanasiasa, kila siku tunapiga kelele juu ya viongozi kuwakuza vijana kwa kuwapa tips namna ya kufanya kazi na kuongoza watu.
 
Nakumbuka Mwaka 1970 Wafanyakazi wa Shirika la reli waligoma kisa tu Viongozi walikuwa wanapata mkate wenye siagi na wao walikuwa wanakunywa chai na mkate. [emoji23][emoji23][emoji23] solution la dai lao walitaka Wafanyakazi wote wanywe chai na mkate bila siagi wawe sawa instead ya kuomba waongezewe na wao wapate mkate wenye siagi.

Akili zetu hizi hazijabadilika hadi leo, hizi akili zilijidhihirisha awamu ya tano tukafundishwa kuchukia wenye neema sisi wenye dhiki tukajiona tu na haki ya firdausi ya nchi ni mali yetu absurdity kabisa.

Kwanini leo nisimame na January Makamba kwa kaliba yake amekulia kwenye siasa mara nyingi ameelezea historia ya mapitio ya maisha yake tangu utoto.

Amekuwa exposed kwenye dhiki na Faraja kote huku amepitia uzuri wake ni good brain anakumbuka wapi ametoka. Wengi tunaweza kuwa tumesoma naye au kukua naye kwenye mapitio haya.

Watanzania tuna shida kubwa sehemu tunajilimbikizia mateso ni mabingwa wa first sight communication taarifa ya kwanza tu tunayoipokea ndiyo taarifa sahihi hatuna wakati wa kuchimba zaidi. Tumekuwa kizazi chenye taarifa nyingi lakini hatuna uelewa nazo au ufahamu.

Kosa la January ni kuwa na akili kuwa visionary leader alipokabidhiwa wizara tukampima bila kuangalia utendaji alipotuambia ukweli kuhusu hali ya Tanesco tukamuona kama amebeba chuki kwa Serikali ya awamu ya Tano.

January si mtu wa visasi na vinyongo ni aina ya viongozi ambao wamekuzwa kwenye maadili ya uongozi. Amepita makuzi kwa Mzee Mkapa, Mzee Kikwete, Mzee Kinana, Mzee Nnauye. Watu wanashindwa kufahamu chuki hutengenezwa na watu wanaowazunguka viongozi Magufuli alifundishwa kumchukia January mtu aliyetakiwa kumfanya mshauri wake hakumtaka akamsukuma nje. Akaaanza kutengeneza Jeshi lake mwenyewe ambalo lilimfunga macho.

Akili ya January ilimpa utulivu. Watu wenye akili huonekana kwenye vipindi vigumu vya maisha au namna wanavyoyatatua matatizo kuna msemo unasema tough times never last but tough people do. He was calm kwenye situation ngumu kama ile aliona hata kujiweka kwenye public kungemuongezea uhasama zaidi alijificha mbali na uso wa Dunia.

Akili ya January ilimtenga na kelele za Comparison na mtangulizi wake kwenye Nishati watu wakaanza kumfananisha January na kalemani utendaji wao haya yalikuwa makosa ya karne na karne. Hili hakikumuondoa kwenye planning zake kuijenga upya Tanesco atleast now shirika linaendeshwa kisasa na kazi inaonekana.

Kosa la January ni lipi? Vijana wote tunatamani kuwa kama yeye. Tunatamani utulivu wake kwenye utendaji wa kazi. Tunamuonea wivu tunaona hatuwezi kufika alipofika tumechelewa kwenye utendaji tunaanza kupika majungu, tunaanza kutengeneza maruhani aaah wapi yule mpigaji tu, Inahitaji akili kuja na Program kuendesha serikali unless tutakuwa watu wa mapambio.

Let him be. Master wa mchezo wa karne hii.
Umetumwa umpambe au wewe ni yeye?? January kapitia shida??wewe ni nyegerousis.ugonjwa mubaya sana
 
Zitto asingefika hapo alipo Mama yake Bi shida Salim alikuwa mjumbe wa kamati kuu Chadema. Haya tuendelee.
Bado cheo chake kidogo Sana kumfanya zitto afike alipo Sasa hiyo kijana kajipambania mwenyewe.
 
Zitto mama ake alikuwa mwenyekiti wa chama cha walemavu Tz na alikuwa mjumbe wa bunge la katiba hakuwa m2 mdogo kama unavyodhani may usemi Sugu ndo katoboa kwa juhudi binafsi
Utashi na umakini alionao zitto ado auongozwi na juhudi za mamake
 
January yupi unayemwongelea?!

Huyu wa wizi wa mitihani Galanosi ?!,
Huyu aliyempiga (Mtapeli) Mtaliano (Hawara ya dadake Mwamvita) Dola (USD Milioni 2) zaidi ya bilioni 4.6 kwa ajili kutumia katika Kampeni zake za Urais 2015?!

Huyu aliyeanzisha SACOSS hewa ya Chai na kuvuta bilioni 2 za NSSF?!

Huyu ambaye aliamua kuwa " BACK BITER" /Mnafiki wa kumsengenya Mwenyekiti, Rais na Amiri Jeshi Mkuu Hayati JPM na kufurumushwa Serikalini?!

Ni Tanzania tu pekee Duniani ndo mtu " Snitch" kama January anarudishwa tena Serikalini!

"What he did to the Late JPM amounted to treason"!

January huyu ambaye leo amegeuka kuwa Marketing Manager wa Kampuni Taifa Gas kwa kugawa mitungi ya gas ya Rostam Aziz?!

Huyo ndo unasema Big Brain, acha ushamba na ujue Watanzania wengi si wajinga kama wewe!

We are watching the move!
 
January yupi unayemwongelea?!

Huyu wa wizi wa mitihani Galanosi ?!,
Huyu aliyempiga (Mtapeli) Mtaliano (Hawara ya dadake Mwamvita) Dola (USD Milioni 2) zaidi ya bilioni 4.6 kwa ajili kutumia katika Kampeni zake za Urais 2015?!

Huyu aliyeanzisha SACOSS hewa ya Chai na kuvuta bilioni 2 za NSSF?!

Huyu ambaye aliamua kuwa " BACK BITER" /Mnafiki wa kumsengenya Mwenyekiti, Rais na Amiri Jeshi Mkuu Hayati JPM na kufurumushwa Serikalini?!

Ni Tanzania tu pekee Duniani ndo mtu " Snitch" kama January anarudishwa tena Serikalini!

"What he did to the Late JPM amounted to treason"!

January huyu ambaye leo amegeuka kuwa Marketing Manager wa Kampuni Taifa Gas kwa kugawa mitungi ya gas ya Rostam Aziz?!

Huyo ndo unasema Big Brain, acha ushamba na ujue Watanzania wengi si wajinga kama wewe!

We are watching the move!
Kile kipara kina madini sana. Ni kiongozi na nusu.
 
Back
Top Bottom