Tough time never last, tough people do! January Makamba is a tough man

Tunata bwawa la umeme likamilike
 
Jifunze kitu; (mtoa mada haikuhusu hii)

Jamaa kaandika kila kitu, yaani ni aina ya wale kama wanalipwa hivi ili kumboost mtu.

Ukitaka kujua hilo, angalia replies za wadau wengine na yeye kaziingilia kwa kuwajibu wadau kwa jabza kali hadi matusi.

Hii siyo sahihi kwa mtoa mada kudhani kila mtu anamfaham huyo February, hapa tunataka kizazi kilichokulia kwenye mfumo na kisichobebwa au kukulia kwa baba na mama wahasibu basi lazima mtoto awe mhasibu.

Hii ni nchi ya wote although inaonekana haina mzawa, yeyote kutoka nje anaweza kuongoza.
 
Wenye nchi yenu bwana mnajuana vizuri ningeamini hilo Kama tu mzee wake asingekua miungoni wa watu waliowahi kushika nyadhfa kubwa au kwa lugha rahisi amejiibua yeye kwa juhudi zake binafsi Kama kina zitto lakini hawa watoto wa kina MAKAMBA.mwinyi kikwete
Nyerere,sokoine ni wanatekeza tu.
 
Zitto mama ake alikuwa mwenyekiti wa chama cha walemavu Tz na alikuwa mjumbe wa bunge la katiba hakuwa m2 mdogo kama unavyodhani may usemi Sugu ndo katoboa kwa juhudi binafsi
 

Zitto asingefika hapo alipo Mama yake Bi shida Salim alikuwa mjumbe wa kamati kuu Chadema. Haya tuendelee.
 

Ukilipwa wewe inatosha.
 
Visionary leader aliyeiba mitihani akafutiwa matokeo, only in Tanzania.

Tuna taifa la ajabu sana, watu wenye mawazo kama ya mleta mada ndio wanajiona vichwa.
Mm nilifutiwa mitihani na tukarudia lakini sikuhusika na wizi wa mitihani ile. Bahati nzuri nilikuja kufail
 
Mtu aliyebebwa maisha yake yote unamuita tough? Amefight wapi ?

kuna kubebwa na kukuzwa, kwa hiyo unataka watu wasikuzwe kwa ajili ya kulitumikia Taifa? JM amekuzwa kuwa kiongozi na kutumikia Taifa.

Mnyika, ZZK, Mdee nk wamekuzwa na FAM kuwa wanasiasa, kila siku tunapiga kelele juu ya viongozi kuwakuza vijana kwa kuwapa tips namna ya kufanya kazi na kuongoza watu.
 
Umetumwa umpambe au wewe ni yeye?? January kapitia shida??wewe ni nyegerousis.ugonjwa mubaya sana
 
Zitto asingefika hapo alipo Mama yake Bi shida Salim alikuwa mjumbe wa kamati kuu Chadema. Haya tuendelee.
Bado cheo chake kidogo Sana kumfanya zitto afike alipo Sasa hiyo kijana kajipambania mwenyewe.
 
Zitto mama ake alikuwa mwenyekiti wa chama cha walemavu Tz na alikuwa mjumbe wa bunge la katiba hakuwa m2 mdogo kama unavyodhani may usemi Sugu ndo katoboa kwa juhudi binafsi
Utashi na umakini alionao zitto ado auongozwi na juhudi za mamake
 
January yupi unayemwongelea?!

Huyu wa wizi wa mitihani Galanosi ?!,
Huyu aliyempiga (Mtapeli) Mtaliano (Hawara ya dadake Mwamvita) Dola (USD Milioni 2) zaidi ya bilioni 4.6 kwa ajili kutumia katika Kampeni zake za Urais 2015?!

Huyu aliyeanzisha SACOSS hewa ya Chai na kuvuta bilioni 2 za NSSF?!

Huyu ambaye aliamua kuwa " BACK BITER" /Mnafiki wa kumsengenya Mwenyekiti, Rais na Amiri Jeshi Mkuu Hayati JPM na kufurumushwa Serikalini?!

Ni Tanzania tu pekee Duniani ndo mtu " Snitch" kama January anarudishwa tena Serikalini!

"What he did to the Late JPM amounted to treason"!

January huyu ambaye leo amegeuka kuwa Marketing Manager wa Kampuni Taifa Gas kwa kugawa mitungi ya gas ya Rostam Aziz?!

Huyo ndo unasema Big Brain, acha ushamba na ujue Watanzania wengi si wajinga kama wewe!

We are watching the move!
 
Kile kipara kina madini sana. Ni kiongozi na nusu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…