Siku zote jitahidi kurahisha mambo,sekta ya utalii haina vigezo vyovyote ili uweze kuimudu,inahitaji kua tayari na kua na muda pengine na kujifunza namna nzuri ya kutoa huduma za kitalii!Unahitaji watu wa criteria zipi? Mbona wazo lako ni zito ila umeliandika kiwepesi sana?
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko vizuri sana,utalii ni biashara nzuri sana,Australia 75% wamejiajili kwenye sekta ya utalii,na Australia kwasasa duniani ndo inaongoza kwa utalii,na ukiangalia ina vivutio ambavyo hata sisi tumewazidi!Wakuu me nimekosa mtaji tuu ila naamini km upo siriasi kwenye biashara ya utalii na una network nzuri ukipata agent wa 4 tuu nje ya nchi we ni bilionare mkubwa sana.
Unakua unauza package nzima hadi flight. makampuni mengi ya wazungu yanaanza taratibu baada ya muda yanakua yamefika mbali.
One night accomodation ya Serengeti tented lodge fullbody inafika 200 USD
Sent using Jamii Forums mobile app
Unahitaji partners au workforce?Siku zote jitahidi kurahisha mambo,sekta ya utalii haina vigezo vyovyote ili uweze kuimudu,inahitaji kua tayari na kua na muda pengine na kujifunza namna nzuri ya kutoa huduma za kitalii!
Kwahiyo hamna vigezo kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
nawaombea mfikie malengo yenu..ni deal zuri ila muwe seriousUko vizuri sana,utalii ni biashara nzuri sana,Australia 75% wamejiajili kwenye sekta ya utalii,na Australia kwasasa duniani ndo inaongoza kwa utalii,na ukiangalia ina vivutio ambavyo hata sisi tumewazidi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi ndo tutakua workforce na partners at beginning!
Inabidi tuanze na hizi zinazohitaji mtaji wa kawaida,i dont think if campsite needs tall capital,baba Capital na kodi zitakutoa out. ila all the best
Mtaji kama kiasi ganiWakuu me nimekosa mtaji tuu ila naamini km upo siriasi kwenye biashara ya utalii na una network nzuri ukipata agent wa 4 tuu nje ya nchi we ni bilionare mkubwa sana.
Unakua unauza package nzima hadi flight. makampuni mengi ya wazungu yanaanza taratibu baada ya muda yanakua yamefika mbali.
One night accomodation ya Serengeti tented lodge fullbody inafika 200 USD
Sent using Jamii Forums mobile app
Utalii una hela wadau sio utani kuzidi ata madini ya kubahatisha. km mpo siriasi tuyajenge maana ata me npo onprocess ku launch site yangu ya utalii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mi ningependa tu kujua kama una undugu na OntarioTanzania biashara ya utalii na madini hazijatendewa haki kabisaaa.
Sasa nahitaji watu wanne au zaidi tuanze na campsite moja kabambe ambayo itakua mfano Tanzania ikiwezekana Dunia nzima.
Wekeni namba zenu za simu hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana sina undugu naye! Ha ha haMkuu mi ningependa tu kujua kama una undugu na Ontario
Maendeleo hayana chama
Ujumbe gani tena mheshimiwaMkifikia muafaka nipatieni ujumbe inbox maana nipo tayari.
Jinsi ya kufanya mazungumzo, makutano na njia kadha wa kadha.
Sawa ndugu nimekuelewa,sasa si inatakiwa uwepo toka mwanzo?maana tukishakaa ndo tunakua tumeshaanza hivo taratibuJinsi ya kufanya mazungumzo, makutano na njia kadha wa kadha.
NB: Mimi siyo mheshimiwa.
Kwanini itoe mikopo kwa vijana na kinamama tu?safi mkimaliza CCM ina toa mikopo kwa Vijana na wakina mama... zero riba...
karibuni kwa maendeleo yetu...