Tour fupi ya shamba langu la greenhouse

Tour fupi ya shamba langu la greenhouse

Nashukuru
Kwanza kabisa nikupongeza kwa moyo wako wa kutaka kusaidia vijana wa nchi hii kujikomboa kiuchumi mimi leo ndo nimeiona hii thread, na imenivutia kwelikweli, hapa nina maswali kadhaa nahitaji kukuuliza kwanza kabisa mimi nina mtaji wa mil 1.5 nilikua na mpango wa kununua boda boda lakn nimeona zimekua nyingi mjini, vipi huo mtaji unaweza kutosha mpaka kuanza kuvuna maji yapo ya kutosha kabisa.
Swali la pili mimi niko dar es salaam na eneo ambalo nahitaji kuanza hiki kilimo kwa takribani miaka saba sasa limekua likitumika kwa ulimaje wa mboga mboga km mchicha, tembele na bamia, vipi ardhi hii itakubali kweli kilimo hiki maana sio bikra na nimesikia ardhi ambayo sio bikra huwa ina changamoto zake, ni hayo tu mkuu ukinijibu itakua vizuri sana
 
Kwa wale ambao wanahitaji kutanua biashara na kilimo chao kuwa kikubwa NMB wameanza kutoa mikopo kwa ajili ya wanaolima kisasa kibiashara yaani agribusiness na nimekuwa nikiisikia redioni. Nadhani hii ni program nzuri sana. Na ukizibgatua serikali ya sasa inasiditiza ktk viwanda na viwanda vinategemea kilimo.
 
Kama nimekuelewa vizuri kwenye hiyo clip...unasema kilimo cha green house ni sawa na kilimo cha bila green house ili mradi utumie formula hiyo hiyo (nadhani itakuwa ya kumwagilia, kufungunga nyanya kwenye miti, pia na madawa). Na umeongeza kusema kuwa bora usingeomba mkopo...! Niko sahihi mkuu...ama nimekuelewa vibaya?
 
Jana nilikuwa naongea na watu fulani baada ya kuwapa mafunzo haya na ikaibuka hoja nzito kuwa baadhi ya watu tz wanakiogopa kilimo hiki, infact kilimo cha kisasa kwa ujumla kwa kuwa kinachukuliwa ni kazi inayolipa ila ni kwa ajili ya kikundi cha watu wachache wanaojiamini na kuamua kuingia kwenye kilimo hicho ambapo watu waliobaki wanaogopa. Hii inafanya idadi ya wanaofanya kilimo cha kisasa kuwa wachache.

Kwa uzoefu wangu nimegundua kuwa kushindwa kufanya maamuzi kwa watu kunawafanya miaka nenda rudi watu wawe pale pale wakati wangeamua kufanaya maamuzi leo hii ili kwamba miaka miwili mbele wajikute wako hatua mbele in development
Hapo kaka umenena. Changamoto ya wajasirialami wengi ni kukosa uthubutu. Usipothubutu utaendelea kubaki palepale.
 
Habari za asubuhi.

Kwa wale waliotaka angalau kuona kwa ufupi shamba langu la greenhouse ambalo nimelima nyanya ndani ya greenhouse na nje pia yaani bila greenhouse ila kwa kutumia formula maalumu ya kitaalamu ya kutumia gharama kidogo ila mavuno mengi na makubwa wanaweza ku click hiyo video hapo chini na kuangalia.



0758 308193

 
Tunawashukuru wale wrote walioweza kuja kwenye. Shamba darasa letu pale dar. Mmeweza kuelezea kuwa ukiamua kuchukua uamuzi wa kujikwamua na umaskini imawezekana
 
Ukitaka kuchimbiwa visima unaweza watumia wakala wa serikali itakuwa bei nzuri na kazi yao ya uhakika pia. Wako pale udsm. Wa Google tu utapata maeasiliano yao.

Watu wamekuwa wakiwatimia wanaojiita wachimbaji wa visima wa mtaani kwa bei poa na matikeo yake baada ya muda mfupi kisima hakina Maji. Wakati ungewatumia watu wanaoaminika na kuchimbiwa kisima cha uhakika kwa bei nzuri tu.

Hii inaleta lile wazo kwamba km unahitaji elimu au kitu cha uhakika usifanye ubahili ktk vitu vyenye umuhimu. Nafahamu kuwa hali ya kifedha ya watu so nzuri ila pia angalia madhara ya muda mrefu utakayopata iwapo ukitumia watu wasio na ujuzi wa kuchimba kisima. Au hata km utatumia mxhimbaji wa mtaani at least tumia MTU ambaye ashamchimbia MTU mwingine ili uwr na uhakika
 
TUJITEGEMEE uko sahihi KBS. Huhitaji mamilioni ya kujenga GH wakati unaweza ukalima kisasa ukiwa na laki 2. Tembelea shamba darasa letu ujipatie ujuzi.


Seba umepatia kuongelea khs urhubutu. Tunaishi kwa sasa ktk ulimwengu wa capitalism. Maana yake nn, maana take ni kuwa wrote waliofanikiwa walifanya uthubutu. Waoga siku yao ya Leo haitofautiani na miaka kadhaa ijayo. Ni ukweli ila hatupendi kuusikia. Tusiogope kujifunza na kupata elimu itakayotutoa. Tungekuwa ktk nchi za socialism sawa labda serikali ingetupa fedha za kuanzia maisha ila kwa kwetu kila MTU mwenye kuamua ndiye hutoka
 
Kuna jamaa waliniandikia na kunipigia simu wakiniomba niwape mchanganuo wa kilimo cha tikiti kwa wale wasio na uwezo wa kununua zile mbegu za gharama kubwa za tikiti za hybrid. Wanaulizia itakuwaje km wakitumia mbegu za kawaida.

Kwa ushauri wamgu tumia mbegu inaitwa Crimson sweet kutoka kampuni inaitwa Pop Friend na ni ile ya zebra. Jamaa wanasema wataweza kuweka Miche buku. Idadi hiyo ya Miche unaweza weka katika eneo la nusu eka. Pia tumia tekniki ya kuweka watermelon seed dabo ktk shimo moja ili upate Miche 2000. Ukiirunza vizuri unaweza pats tikiti 2 kwa mchr. So kila tikiti ukiliuza kwa bei ya sasa Soko linapoelekea kuwa nzuri ambayo kwa sasa ni 2000 itakuwa 2000 x 2000 = 4,000,000 baadaya miezi 2 ya ukulima wako. Utatumia mtaji watermelon seed 13,000 + madawa 27,000 + mbolea 102,000 = jumla 142,000. Hapo na assume Maji unayo na ni nje ya mshahara wa mfanyakazi
 
Hongera sana kaka..
Ningependa kujia majina ya hizo mbegu za kisasa. Unazotumia na pia garama ya vifaa vya kumwagilia kwa matone.. bei ya pipe hzo tenki na kama kuna kifaa kingne.. toa karama za ujenzi wa mlingoti wa kusimamishia tenki
 
Nawatakia sikukuu njema na karibu ni katika shamba darasa kwa kujifunza
 
Kuna jamaa waliniandikia na kunipigia simu wakiniomba niwape mchanganuo wa kilimo cha tikiti kwa wale wasio na uwezo wa kununua zile mbegu za gharama kubwa za tikiti za hybrid. Wanaulizia itakuwaje km wakitumia mbegu za kawaida.

Kwa ushauri wamgu tumia mbegu inaitwa Crimson sweet kutoka kampuni inaitwa Pop Friend na ni ile ya zebra. Jamaa wanasema wataweza kuweka Miche buku. Idadi hiyo ya Miche unaweza weka katika eneo la nusu eka. Pia tumia tekniki ya kuweka watermelon seed dabo ktk shimo moja ili upate Miche 2000. Ukiirunza vizuri unaweza pats tikiti 2 kwa mchr. So kila tikiti ukiliuza kwa bei ya sasa Soko linapoelekea kuwa nzuri ambayo kwa sasa ni 2000 itakuwa 2000 x 2000 = 4,000,000 baadaya miezi 2 ya ukulima wako. Utatumia mtaji watermelon seed 13,000 + madawa 27,000 + mbolea 102,000 = jumla 142,000. Hapo na assume Maji unayo na ni nje ya mshahara wa mfanyakazi
Nina swali hapo kwenye gharama za madawa na mbolea je ni cost kwa mara zote ambazo umetumia mwanzo mpaka mwisho au umeweka ya mara moja? Maana michanganuo tunapata mingine inakatisha tamaa hapa naona below laki 2 lakini pia wengine wanatuambia usiwe na chini ya 3M per heka yan mpaka unahisi kushindwa, tusaidie kwa hili mkuu maana tupo kwenye maandalizi wengine
 
Nina swali hapo kwenye gharama za madawa na mbolea je ni cost kwa mara zote ambazo umetumia mwanzo mpaka mwisho au umeweka ya mara moja? Maana michanganuo tunapata mingine inakatisha tamaa hapa naona below laki 2 lakini pia wengine wanatuambia usiwe na chini ya 3M per heka yan mpaka unahisi kushindwa, tusaidie kwa hili mkuu maana tupo kwenye maandalizi wengine

We MTU kashakwambia na kukupa mchanganuo na kukwambia uende tembelea shamba darasa ukajifunze. Inawezekana umeamua kujidunza Ku pitia internet. Kilichotokea ni kuwa vitu vimekuchanganya. Ndio elimu ya bure madhara yake.Kiukweli watu hawaelewi kilimo kinahitaji elimu sahihi. Kesho amua kulipia na kwenda shamba darasa. Usikubali kuwa confused. Pata elimu itakayokupa majibu. Mafunzo yake yamenisaidia sana
 
Back
Top Bottom