Mzee Mukaruka
JF-Expert Member
- Jun 18, 2012
- 712
- 393
Naamini utatoa maelekezo murua namna ya kufika hapo kwenye mafunzo badala ya kusema Kibaha tu! Si unajua Kibaha na ukubwa na pia utarajie wageni ambao hawaijui Kibaha KABISA. Asante.Tunashukuru kaka. Tunaisubiri kwa hamu sana
SAdly ni kuwa kwa tz balton pekee ndio wanauza genuine uv plastics hada ukinunulia ofisi yao ya arusha. Ila ukitaka za kawaida unaweza nenda kkoo sokoni paleNatafuta UV plastic unaweza Nisaidia aisee Biashara2000
Ningewashauri nanyi mjaribu. Kwa wale wenye formula yanfu, utatumia mwongozo ile ule ila tu ni kwa mbegu ya matango. Mbegu hii inauzwa sokoni kkoo n.sh. 5000 kwa mbegu 75
Sasa Hizo za Kariakoo ni Fake Mkuu au ?SAdly ni kuwa kwa tz balton pekee ndio wanauza genuine uv plastics hada ukinunulia ofisi yao ya arusha. Ila ukitaka za kawaida unaweza nenda kkoo sokoni pale
Sasa mkuu, tuambie kiukweli kati ya matango na nyanya ni kipi hutumuii mtaji mkubwa na ulipaji wake kipi zaidi
haziitwagi fake, zinaitwa 'za kawaida'Sasa Hizo za Kariakoo ni Fake Mkuu au ?
Unapata tango zaidi ya ishirini kwa mche sasa piga hesabu eka moja inaweza accomodate miche 1000 na angalia bei ya tango mtaani kwenu ni ngapi. Bei ya shamba ni sh 300 so zidisha mara idadi ya tango kisha idadi ya miche urajua kwa mwezi unapata pesa ngapi maana mbegu hii ya monalisa ni ya mwezi
kibaha kwa mathias, jamaa kaacha na namba za simu, mpigie kabla ya kwenda kwa ajili ya detailsNaamini utatoa maelekezo murua namna ya kufika hapo kwenye mafunzo badala ya kusema Kibaha tu! Si unajua Kibaha na ukubwa na pia utarajie wageni ambao hawaijui Kibaha KABISA. Asante.
Bw. Ngamba umeuliza swali zuri sana, ni swali ambalo watu wengi wamekuwa wanapenda sana kufahamu. Kwa bahati ambayo sio poa wakulima wengi na wale ambao wana mpango wa kulima imekuwa vigumu kwao kupata info sahihi ntalijibu katika vipengele viwili
Mbegu hizi special kama Heirsloom, Corazon, Anna F1, Julia, Carson, Memoneta na n.k zina shelf life kubwa tu na zimeboreshwa kutoka katika nchi za ulaya zenye baridi na zilikuwa maalumu kwa ajili ya kupandea kwenye greenhouse. Sasa waafrika tunafoji na kuamua kuzitumia huku afrika ndio maana wakulima wengi wanalalamika zinawatesa zinashindwa kuvumilia hali ya joto ndio maana zinalimwa Arusha na Nairobi angalau penye kaubaridi
The kick ni kuwa hazikubali nje ya greenhouse yaani kulima kilimo cha wazi. Hii inanyima fursa kwa watu wasio na uwezo wa kifedha wa kujenga gh kushindwa kufanya kilimo cha kisasa na kufanya wakulima wa kawaida kubaki na zile mbegu za kawaida mfano Tengeru na Tanya
Mbegu ambayo mi nawashauri watu waitumia ndio ambayo mie naitumia. Hii imeboreshwa kutoka nchi ya ulaya ambayo iko karibu na bahari ya med. ambalo ni eneo lenye kiwango angalau cha joto. Baada ya hapo ililetwa afrika kusini kuboreshwa Zaidi. Pia ikajaribiwa ktk nchi za afrika ktk gh na kilimo cha wazi. Mbegu hii unaweza ilima ndani ya gh na kilimo cha wazi km ilivyo kwenye hiyo video yangu hapo juu na inavumilia ukame na jotohivyo ni nzuri kwa mikoa yote ya tz
haziitwagi fake, zinaitwa 'za kawaida'
Mkuu inalipa si haba hata kwa bei hiyo ya shambani ni nzuri sana.
vipi kwenye nasafi ya upandaji baina ya mche na mche na umwagiliaji wake ni kama ule wa nyanya?
challenges zake kwenye wadudu zinakuwaje?
Ahsante.
Km unasimamisha miche utapandas kwa upana wa futi moja baina ya mche na mche ila km unaiacha inatambaa unapanda angalau mita 1 na umwagiliaji wak ni km kwa nyanya