the shepherd
Member
- Sep 20, 2016
- 7
- 2
Mfano wilaya moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuuliza mbona watali huja Kenya na ila sio TZ! Jibu hilo kama kweli mna vifutio vingi unavyosema wewe! Halafu mimi hizo waterfalls ni za Nairobi pekee!! Have you ever heard of Ngare Ndere? Among the most beautiful waterfalls in Africa with diving option!!Wewe kwa mambo ya vivutio vya kitalii huwezi kuisogelea TZ.
Halafu maji huwa ni maji tu. Unaweza weka effect kwenye picha kujifurahisha tu. Halafu ujue nimekuwekea vivutio vichache mno. TZ kuna zone nne za vivutio. Southern zone ndio yenye vivutio vingi. Kwa upande wa beaches na islands huwezi gusa.
Kule kenya your almost nothing. Hakuna kivutio kilichopo kenya TZ hakuna.
Lakini kuna vivutio vingi mno vipo TZ kenya hakuna.
Wewe jipe sifa tu lakini sisi tunaongea facts
Hivi wabongo ni taaban! Kwanini kila kitu kizuri mnadhani ni cha wazungu? Kama mwingine hapa akisema eti Malls za Kenya wazungu ndio huingia, eti shamba za maua ni za wazungu eti mashamba ya Majani chai ni ya wazungu eti mahoteli ni za ma settler!! Whaaaat!!! Kenyan Malls are for Kenyans Everything in Kenya is for the benefit of Kenyans sio Kama nyinyi na kina Dangote wanaokataa kulipa kodi ama wafunge viwanda. Angalia kwenye hii mall kama utaona Mzungu!!!Acheni kutambiana Mungu ndo aliamua kuweka hvyo. By the way settlers waliokuwa kenya ndo wanaifanya ionekane hvyo kama boers tu wa south africa ili hali walio wazaliwa halisi wanaumia ukilinganisha na Tanzania wananchi wake wanaishi kwa raha ukiachalia changamoto zilizopo ambazo ni kitu kinaenda kikibadiliks Tanzania ya 2004 sio ya leo 2016 so mm sioni haja ya majirani zetu kutusimanga without knowing that everything has its timezone still to come new Tz
Hizo ni tafakari zako broh mi sina ligi na mtuHivi wabongo ni taaban! Kwanini kila kitu kizuri mnadhani ni cha wazungu? Kama mwingine hapa akisema eti Malls za Kenya wazungu ndio huingia, eti shamba za maua ni za wazungu eti mashamba ya Majani chai ni ya wazungu eti mahoteli ni za ma settler!! Whaaaat!!! Kenyan Malls are for Kenyans Everything in Kenya is for the benefit of Kenyans sio Kama nyinyi na kina Dangote wanaokataa kulipa kodi ama wafunge viwanda. Angalia kwenye hii mall kama utaona Mzungu!!!
![]()
Muache tabia hizi za kujidunisha mkidhani mzungu ndiye mambo yote! No wonder Diamond anaweka wazungu kwenye video akidhani huo sasa ndio ustaarabu!!!
Ok! Poa!Hizo ni tafakari zako broh mi sina ligi na mtu
Hebu tuanze sasa uchambuzi wa UtaliiNakubali havyo vifutio lakini, mbona watalii wengi hupenda Kenya hata kama kuna tishio za kigaidi? Huku Tanzania hamna vizuizi kama hivyo na bado hamjafikia Kenya kwa watalii??
View attachment 445094
Hiyo link uliyonipa ni wakoraHebu tuanze sasa uchambuzi wa Utalii
Angalia hapa Data za Tanzania ni 2014 za Kenya ni 2015. Uone sasa issue inavyobadilika. wewe umebaki na historia
African countries by number of International tourist arrivals 2015 | Statistic
Sasa ulichoweka kitu gani hicho wewe?Hiyo link uliyonipa ni wakora
Angalia hii ya statistics za world bank
International tourism, number of arrivals | Data
Wewe mbona unakimbia kivuli chako? Imesa hizo statistic nimekupatia.1. Hujasoma graph ya Kenya ukaelewa, Watalii hushuka baada ya elections since 1997 every year after lection year is always the lowest, The year to elections like now 2016 always has very high numbers! 7 luxury cruise ships has already docked at Mombasa and other seven are docking this week!
2. You can imagine with all the terrorists surrounding us, tourists still come! What if we could be like you, no alshabab no Isis! The Alshabab were trying to make our country look insecure so that we lack tourists but, but we have tried anytime from now the numbers will improve again. In 1998, There was a deadly bomb attack in the heart of Nairobi. Then Kikambala Mombasa and the attempted Israel Air at Mombasa. That was the point things started going badly but still look at the numbers!!! It means people love Kenya more than any other country in that even with the threats, we still have them coming.
![]()
MV Neutica
![]()
MV Silver
Among the notable 7 in a week
Give me the statistic of your local Tourism. And tell me how much your government get from the poor Kenyans.This year how did you calculate when it has not yet ended? And i posted a picture here in one of the forums! Kenyan tourism is turning local! Many Kenyans are visiting place like never before! Game parks beach hotels are filled by the local people, Since the campaigns like "Tembea Kenya" and "Magical Kenya" Started many places are now not afraid of tourism any longer! Maybe for foreign exchange!
Hiyo Meli ipo Zanzibar Sasa hivi.1. Hujasoma graph ya Kenya ukaelewa, Watalii hushuka baada ya elections since 1997 every year after lection year is always the lowest, The year to elections like now 2016 always has very high numbers! 7 luxury cruise ships has already docked at Mombasa and other seven are docking this week!
2. You can imagine with all the terrorists surrounding us, tourists still come! What if we could be like you, no alshabab no Isis! The Alshabab were trying to make our country look insecure so that we lack tourists but, but we have tried anytime from now the numbers will improve again. In 1998, There was a deadly bomb attack in the heart of Nairobi. Then Kikambala Mombasa and the attempted Israel Air at Mombasa. That was the point things started going badly but still look at the numbers!!! It means people love Kenya more than any other country in that even with the threats, we still have them coming.
![]()
MV Neutica
![]()
MV Silver
Among the notable 7 in a week