MillionaireMan
Senior Member
- Jul 20, 2022
- 156
- 237
Habari kwenu Wazeeiya,
Kama kichwa cha habari kilivyo. Naomba kupata ujuzi, utaalamu, experience mlizonazo katika biashara hii.
Kwa ufupi tu, ni camp kwaajili ya watalii.
Majibu yenu naomba yawe kwenye vidokezo vifuatavyo;
1. Mazingira watalii wanapenda kuwa kwenye camp.
2. Experience zenu kwenye uendeshaji na faida.
3. Changamoto zake
4. Any pitfall, or caveats to avoid .
5. Mchango wowote nitashukuru
Nawatakia kheri
Kama kichwa cha habari kilivyo. Naomba kupata ujuzi, utaalamu, experience mlizonazo katika biashara hii.
Kwa ufupi tu, ni camp kwaajili ya watalii.
Majibu yenu naomba yawe kwenye vidokezo vifuatavyo;
1. Mazingira watalii wanapenda kuwa kwenye camp.
2. Experience zenu kwenye uendeshaji na faida.
3. Changamoto zake
4. Any pitfall, or caveats to avoid .
5. Mchango wowote nitashukuru
Nawatakia kheri