TOURIST HUNTING INDUSTRY: Revealed: Mzindakaya`s `hidden` business interests

TOURIST HUNTING INDUSTRY: Revealed: Mzindakaya`s `hidden` business interests

Labda tukumbushane tu kwamba jama, tuka hakikishe vile vitambulisho vya vyetu vya kupigia kura vipo sehemu nzuri, na safari hii tusikae majumbani kwa kusema eti hata tupige kura wataiba, twende tupige kwa wingi kwani hata wakiiba kama tofauti ni kubwa watagota!
Hii ndiyo njia pekee ya kujikwamua na utawala dhalimu na fisadi, ambao kwao mtu mwemma mpenda nchi ndiye wanamuona adui wa nchi!

talking of voting, watu wengi sana hawataweza kupiga kura 2010 1. wengi wamehama kutoka walikojiandikisha 2. waatu wamepoteza vitambulisho vyao and didnt even bother to register upya 3. kuna wale wanaosema why vote hakuna haja kwa sababu habari ni ile ile.

ingekuwa vyema sana kama watu wangewza kupiga kura kokote walipo. hapa tusingekuwa na kisingizio cha kutokupiga kura.
 
Wagjameni?

kwakweli imefikia mahali kwanza mkae mkijua inchi hii inaongozwa na wazee wengi na nyadhifa hizo zikishikiliwa na idadi ya wazee wengi pia iwe serikalini kwanye jukwaa la siasa, wakati vijana katika nchi hii wako wengi sana ila cha ajabu na uhakika wanashikilia nafasi chache serikalini na kwenye jukwaa la siasa 0.1%. ivi kweli hapo kuna lakuuliza kweli?? Lazima wazalendo tuzurumiwe na wazee wengi walioko madarakani mkae mkijua hilo utake usipende ukweli ndio huo.hata idadi ya hao vijana walioko kwenye nyadhifa chache serikalini hata kwenye siasa wameshapitiwa na huo mkumbo wako pale sana kwa ajiri ta kutengeneza maisha yao na sio kwa ajili ya wazalendo wengi. Me nadhani kuna haja kubwa kwanza kwa vijana kujishughurisha pia na siasa ili kweli tuweze kufanya mapinduzi ndani ya mfumo mzima ndani ya serikali yetu kisiasa ,kiuchumi, kimaendeleo, etc. pia kubwa zaidi ni kulekebisha katiba ya nchi yetu iendane na democrasia ya kweli sio democrasi ya kuimage ati ipo democrasia wakati twaendelea nyonyana na kurudishana nyuma kwa kila hali na wachache kuwa navyo. 2010 ni muda wetu vijana kuweka sawa msimamo wetu na nijnajua ipo siku vijana tutaitawala hii nchi vizuri sana na itakuwa the best in Africa hata kwa nchi zingine za ughaibuni. vijana huu ndio muda muafaka kabisa tusi laze damu siku ya kupiga kura wote twendeni tusikate tamaa kweli we can do the big change 2010, na vijana wengi tuingie majimboni kuchukua majimbo na tukiungana kwapamoja na kuwa na lugha moja ya vijana nchi yetu hii na wazee tutawalea vyema. Ni muda wa Utawala wa sheria, utawala bora na mtu kuwa mzalendo wa kweli ndani ya nchi yetu na uwajibikaji wa hali ya juu kweli tutatoka with 10yrs nchi inakuwa mahali pengine hamini msi hamini yakifanyika hayo haya mengine hamtokuja yasikia tena ati ufisadi au epa never.

"TOGETHER WE CAN DO THE BETTER FUTURE FOR THE NEXT GENERATION"
 
Kuna haja ya kuwa na wabunge wa kujitolea badala ya hawa wa sasa wanaotumia kila mbinu kupata nafasi hiyo wakijua mitaji yao itarudi. Ushahidi mkubwa wa hulka hiyo ni pale wabunge wanapokuwa wakali kupita kiasi dhidi ya mjadala unaohusu mishahara yao, wanaficha nini? Si wabunge wa Sisiem wala wa ukinzani, wote wako kwa ajili ya maslahi yao tu. Angalia walivyosahau maswala nyeti na kuanza kumuandama mtu wa watu, Dr Slaa, kwa nguvu zote ati kwa kuwa kagusia mishahara yao, kumbe ukweli unawauma waheshimiwa!!!!!!!!! Wanadiriki kutumia mwavuli wa kuvuja kwa nyaraka za siri za serikali ili kuficha uroho wao uliowapeleka bungeni, watajuuuuuuuuta kumfahamu Father Slaa. Sheria ni msumeno!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom