Wageni unao.........?.......au fafanua ni ktk nyanja gani coz hii sekta ni pana sana..............
Hapana, nahitaji kusajili kwanza ili nitambulikane ndio niweze kufanya biashara hio. Maana nataka kudeal na mahoteli sasa wanahutaji kuona usajili..... Ndiocho nachotaka kwanza
Ukiachia TRA hakuna sehemu nyengine labda nayotakiwa kupita labda institute yoyote ile yenye kuhusika na biashara tajwa? Pia ni kiasi gani huko TRA watakuwa wanahitaji?
Habari zenu wakuu. Nataka kuanzisha biashara ya tours and travel, naomba muongozo wa kusajili biashara tajwa. Natakiwa kupita wapi na wapi mpaka nikamilishe usajili na estimated cost ni ngap?
Ahsante