Tovuti ya mambo ya Afya

Tovuti ya mambo ya Afya

Kilongwe

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2008
Posts
423
Reaction score
116
wadau,Timu nzima ya AfroIT kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa Afya,tupo mbioni kukamiliusha hatua ya kwanza ya tovuti ya afya.Tovuti ambayo itakuwa inakuletea mambo mablimbali yanayohusu afya.

Hivyo,kwa sasa bado tunahitaji maoni yako katika kufanikisha hili.
 
Back
Top Bottom