Tovuti ya Mwananchi ina Virus

Tovuti ya Mwananchi ina Virus

Kwani mwananchi inamilikiwa na nani? jamani tutafakari kidogo kabla hatujahitimisha.
 
Kama sikosei RA yupo ila si major shareholder kama kule kijiweni
 
Jamani mbona wataalam wa IT vipi web ya Mwananchi? mnaweza kutuhabarisha nini kinaendelea au ni matatizo ya kiufundi tu? asanteni

Kwani imekuwaje? mbona mie naipata fresh? jaribu tena huenda lilikuwa tatizo la muda tu ama huko kwako!
 
Kwani imekuwaje? mbona mie naipata fresh? jaribu tena huenda lilikuwa tatizo la muda tu ama huko kwako!
Iko OK kabisa ila mwambie Admin abadili hii kitu ameiweka chini upande wa kushoto ina link ambayo inarahisha kazi kwa anayetaka kuharibu.

Imeandikwa hivi:

Admin (ikionesha hits)
 
WanaJF,

nimepatwa na tatizo la virus nikiwa najaribu kufungua website ya Mwananchi Newspaper. Na Malware imejikita kwenye PC yangu na kila nikijaribu kui-disinfect inashindikana. Inaitwa Trojan downloader something. Anyone with any ideas??
And I need to work on it fast.
 
Yes, Mwananchi ina virusi. Lakini naona kama McAfee inavishika kirahisi tu. Kwangu ilivikamata. Hivi kwa nini Mwanachi inaandamwa vile? Siku chache zilizopita ilikuwa hcaked mpka ikazimika. Sasa tena sijui haya mavirusi nayo yapandikizwa.
 
Yes, Mwananchi ina virusi. Lakini naona kama McAfee inavishika kirahisi tu. Kwangu ilivikamata. Hivi kwa nini Mwanachi inaandamwa vile? Siku chache zilizopita ilikuwa hcaked mpka ikazimika. Sasa tena sijui haya mavirusi nayo yapandikizwa.
Hapana, ntaongea na Webmaster ajaribu kubadili vitu kadhaa. Kuna makosa madogo ambayo yanatoa mwanya kwa hawa jamaa kudumbukiza virus kwenye database yao. Kwa sasa jamaa kalala, nitajaribu kuwasiliana naye aiweke offline kwanza kisha arekebishe kila kitu web ikiwa offline ndipo irejee.

Inasikitisha, si kama wamekuwa hacked,,, hawakufanya update ya site na nafasi ikapatikana kwa waharibifu kuweza kufanya kweli.

Upgrades za sites ni muhimu SANA!
 
Asanteni. Tatizo sina mcAfee natumia F-secure. Nitajaribu kuweka Mc-Afee.
 
Back
Top Bottom