Ndani utakutanan na rim za majiko hapo! Ni wajibu wako kutafta rim nzuri tuNdiyo zipo.
Kwenye hiyo picha ndiyo gari inavyoonekana kwenye mtandao wao.View attachment 1850078
View attachment 1850079
Haya unipe lifti sasa ya kwenda gengeni...lohNashukuru mkuu!
Ila nimeshaagiza Tayari Allion 2003 1.8 LView attachment 1852258
View attachment 1852259
View attachment 1852260
Daah safi mkuu hatuna tabu ila nimeona SBT wao bei zao zipo chini kimtindoNashukuru mkuu!
Ila nimeshaagiza Tayari Allion 2003 1.8 LView attachment 1852258
View attachment 1852259
View attachment 1852260
Nimewahi kumiliki allion 2014-2016, ni gari zuri sana na ulaji wake wa mafuta ni safi sana. Na kuna mtu anaongelea kuhusu kuuza, allion inauzika kirahisi sana maana mimi niliuza same day niliyotaka kuuza na kwa bei nzuri tu.Habari wakuu zangu!
Mimi ni kijana nimekuwa nikitamani kumiliki ka usafiri, Tamanio langu ilikuwa ni kumiliki Toyota Premio 2005 ZZT 1.8L yenye taaa tofauti na zile model za 2001-2004 .
Sasa nimejipapasa nimepata budget kama 13mil
Nimejaribu kutafuta premio yenye vigezo hivyo imekuwa Changamoto ila nimepita kwenye website ya SBI Motors japan nikaiona Toyota Allion 2003 ZZT 1.8 L ina milleage chache almost 24,000 km na ina hali nzuri sana na iko kwenye budget hiyo.
Ombi langu kwenu naomba ushauri wenu kati ya gari hizo mbili, Je niongezee budget nipate premio ya 2005 ambayo almost ni kama 16.5 mil au nichukue hiyo Allion 2003 yenye hali nzuri na milleage chache?
Je Fuel Consumption ,matengenezo na Spare parts kati ya hizo aina mbili za magari ukoje?
Naombeni ushauri wakuu wangu!
Nashukuru
Nimewahi kumiliki allion 2014-2016, ni gari zuri sana na ulaji wake wa mafuta ni safi sana. Na kuna mtu anaongelea kuhusu kuuza, allion inauzika kirahisi sana maana mimi niliuza same day niliyotaka kuuza na kwa bei nzuri tu.
Pia ni gari gumu sana na rahisi kufanya service kuliko hata passo. Service ya passo ghali kuliko allion
Bila shaka gari lako lilifika salama!Nashukuru sana mkuu wa ushauri,
Nilishaufanyia kazi
Mkuu ni vizuri ungetuambia Lita inaenda km ngap,Nimewahi kumiliki allion 2014-2016, ni gari zuri sana na ulaji wake wa mafuta ni safi sana. Na kuna mtu anaongelea kuhusu kuuza, allion inauzika kirahisi sana maana mimi niliuza same day niliyotaka kuuza na kwa bei nzuri tu.
Pia ni gari gumu sana na rahisi kufanya service kuliko hata passo. Service ya passo ghali kuliko allion
Gari nyeusi ndani naipenda sana sana sana!Sema Allion watu hawaipendi kama Premio japo ni gari moja tu kwa maoni yangu with the same interiors finish! Allion ni nyeusi ndani while premio ni rangi ya mbao mbao
Hebu tueleweshe kidogo mkuu!Nimewahi kumiliki allion 2014-2016, ni gari zuri sana na ulaji wake wa mafuta ni safi sana. Na kuna mtu anaongelea kuhusu kuuza, allion inauzika kirahisi sana maana mimi niliuza same day niliyotaka kuuza na kwa bei nzuri tu.
Pia ni gari gumu sana na rahisi kufanya service kuliko hata passo. Service ya passo ghali kuliko allion
Kweli kabisa yaniGari nyeusi ndani naipenda sana sana sana!
Siyo magari madogo tu, Hata truck ambayo ni nyeusi ndani inanibariki sana..
Hii ni kama premio tu kasoro kasha la nje tuNashukuru mkuu!
Ila nimeshaagiza Tayari Allion 2003 1.8 LView attachment 1852258
View attachment 1852259
View attachment 1852260
Ni same car with different body styling tu! Zote zina DNA ya Corolla sema ni corolla zenye long wheel base, option ya engine kubwa tu na cosmetics.Mrejesho tafadhali uliagiza ipi.
Allion ni gari poa sana japo spare zake na Premio hazipishani gharama.