Toyota Allion Vs Toyota Premio ZZT 1.8L


Allion naona iko pouwa tena ile A18 hatari sana
 
Kapotea jamaa...pengine bado ipo bandarini TRA wanaihesabia tu
 
Hata allion pia mkuu ni gari kali sana. Nimeitumia iko vizuri, tofaut yake na hyo nyingine ni miaka tu. Ila premio na allion ni jamii moja na zote zinatumia mafuta vizuri sana/ ni economy.
Mi yangu ni ya 2004.
0655362575
Mkuu cc ngapi yako hiyooo Alion na mafuta inatumiaje na bei yake ni shilingi ngapi ina range
 
Mkuu cc ngapi yako hiyooo Alion na mafuta inatumiaje na bei yake ni shilingi ngapi ina range

Wakuu pole!
Nachelewa kuona Message App hainipi notifications.

Hii Ni Cc 1790 mimi naona ulaji wa Mafuta Ni mzuri
Nikiweka full tank nadunda nalo 3weeks Sema mimi siyo mzuriraji.
Kwenda job na kurudi takribani 15 km per day. Plus kuzurura mara moja moja.

Mfano nilisafiri nalo Dsm to Bukoba nilitumia full tank mbili Ila mafuta yakabaki .
Tank ya kwanza nilitoka Dsm mpaka Nzega.
 
Uliagiza mwenyewe au ulitumia agent?

Niliagiza Mwenyewe kaka.
Ma agent bei ziko juu.
Assume mimi nilagiza mwezi wa nane mwaka Jana budget ilikuwa 13.5Mil bila BIMA.

Nililipia mwenyewe Bank na document nikatumiwa via DHL nikamtafuta jamaaa wa Clearing akanitolea gari. Nilimpa kama 250,000 hivi
Gharama za TBS na Bandari zote nililipa mwenyewe kwa Control number.
 
Hongera mkuu

sent from HUAWEI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…