BLACK MARXIST
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 2,458
- 5,352
AUDI sio ToyotaTOYOTA AUDI ?????? hebu hakiki hilo jina
Mkuu...Kuna post pia niliisoma jana humu ndani inahusisha gari inaitwa Jaguar Range Rover,sijajua kama hii kitu ipo au mimi ndio sielewi?
Magari ya gharama sana na yakitajiri vilevile,,,,usiogope kununua kiss spare,ukiagiza utapata tuHizi nasikia spea zake zinasumbua sana, lakini inaonekana ni gari nzuri sana
Yap nina ndoto ya kumiliki Audi A3. Siogopi hizo speaMagari ya gharama sana na yakitajiri vilevile,,,,usiogope kununua kiss spare,ukiagiza utapata tu
A4 ya 2016 hatar sana ndgu,,balaaa kubwa kbsaYap nina ndoto ya kumiliki Audi A3. Siogopi hizo spea
Hiyo toleo jipya kabisaA4 ya 2016 hatar sana ndgu,,balaaa kubwa kbsa
Yah man nadhan wameanza iuza mwaka huu ila daaah Kali sanaHiyo toleo jipya kabisa
jaguar ni wamiliki wa landrover mkuu hilo ndo jina la kampuni la sasa sio jina la gari
Duh hii yako kiboko ITV ya SONY umenifanya nicheke na nimekumbuka mbali sana pia inaweza kuzidi hata hiyo Toyotaudi ya mtoa mada.ITV ya Sony
jaguar ni wamiliki wa landrover mkuu hilo ndo jina la kampuni la sasa sio jina la gari