Mnachonga sana watz muwe waelewa Mimi nauza bei elekezi kutoka kwa mwenye gari mtu ukiwa umeipenda unakata ofa inafikishwa kwa mwenyewe akielewa biashara inafanyika sio mnaongea tu kama matahira, halafu wote mnao comment hapa hakuna mteja hata mmoja, wateja wanaelewa nini cha kufanya lakini wapuuzi kazi kujadili kwenye uzi wa mtu muwe na akili makondoo nyie msiwe kama hamjatairiwa vibuyu nyie mwanaume alotairiwa kiume hawezi kujenge mjadala kwenye kazi ya mtu hizo issue zipo kwa wanawake tuu ndo anaweza toka kwake akashinde saluni kuongea umbea hata asuki wala nywele hajachana lakini yupo saloon. Mnapo jadili bei za magari ya mkononi anagalia na bei ya kuinunua yard ikoje sio kuhorora tu kama inzi wa chooni