Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unateseka ukiwa wapi?? Ulitaka lile makande kama wewe??Hilo jini mla mafuta ukiliuza hata kwa mil 5, shukuru Mungu.
[emoji110]Naam ndivyo biashara za Kihaya zilivyo, yaani unauza lakini hakuna kubembeleza mteja[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Una njaa lakini una pretend huna njaaa[emoji23][emoji23]
Ofcourse una njaa[emoji23][emoji23] sema Uhaya unakusaliti [emoji1787]
Huuzii njaa, nani aliomba kubarikiwa na wewe?
Umeambiwa magari yameadimika?
Kama huuzii njaa si uliache likae kwako hadi lichakae?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usikute uko kwa shemeji yako umetuna kwa kushiba makande baada ya dadako kukandwa then unaleta u chalk kwenye biashara ya wamaume!!Utafika tatu nukta mbili.Subiri uone!
Boss uzuri gari leo nimetoka nalo njoo inboxHakuna biashara hapo.Utapeli tu
Njoo na fundi wakoKilometa mbili linatumia lita ngapi mkuu?
Naona boksi nane za wazee hapo ukija na cheni hiyo ya kwako. Usione aibu kutamka wewe ni dalali tunaheshimu kazi za watu ingawa hamlipi kodi.Nauza gari langu mwenyewe kwa Tsh milioni 9.8!! Karibu pm kuweka picha sijui
[emoji1787][emoji3][emoji1787][emoji3][emoji1787][emoji3][emoji3] bado hujasemaNaona boksi nane za wazee hapo ukija na cheni hiyo ya kwako. Usione aibu kutamka wewe ni dalali tunaheshimu kazi za watu ingawa hamlipi kodi.
Mkamroge??atakayenunua atume picha BREVIS la mwisho mwisho 😀
Hii gari sio ya wizi, mkiendelea kunikera napandisha beiBREVIS hizihizi nilizoanza kutumia 2011 au kuna toleo lingine(new model?).Kama ni hizihizi basi kupata Mteja wa Ml.9 hata wale jamaa tunaoambiwa ni washamba huwezi kumpata[emoji1787]
Bei ya Brevis ya mkononi tena namba D ukipata Mteja wa Ml 5 ushukuru sana