Toyota Brevis Itabaki na Wanaume tu

Toyota Brevis Itabaki na Wanaume tu

bora mark x kuliko brevis!! hata kama pesa ya mafuta hainisumbui bado sioni haja ya kwenda kuitupa kwenye old brevis nikaacha mark x ambayo nayo inatumia mawese with better management na production yake still inaendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
kwa maneno yako tu inaonyesha brevis inakimbiwa sababu ya matunzo, big up wote brevis team
 
Inauma sana Kwakweli,

Kuona Mwanaume Mzima,
Bila Haya kabisa mbele za Wanaume wenzie

Anaamua kabisa kujitoa Ufahamu na kujidhalilisha hadharani kua anamiliki kigari yenye thamani ya shilingi 10mil.

So Sad[emoji24] [emoji24]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sasa hivi zinauzwa million 5-6.... Ni post ya kujifariji tuu.... Ukitoka ubungo mpaka shekilango ushapishana kama 5 hivi... Uniform ya taifa[emoji125][emoji125][emoji125]

Jr[emoji769]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Naunga mkono hoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo la brevis ni bei yake haiendani na gharama zake za uendeshaji iko very cheap
so vijana tunaojichanga huku na huku miaka 3 kupata 12m ya usafiri ni ngumu kumanage huduma zake

kwa maisha yetu ya kibongo hayaa yoyote anaemiliki gari hata iwe paso na anadrive bila shida yoyote ni wakupewa heshima tu
 
Kipato kinapoongezeka na matumizi pia huongezeka! Brevis ni gari nzuri Kama zilivyo nyingine inahitaji matunzo mazuri tu, kama Kipato chako ni cha kuunga unga gari hii utaitambua vizuri tu kuwa sio size yako. Unachokipenda wewe naweza nisikipende mimi japo ukweli utabaki pale pale mbuzi hula majani kwa urefu wa kamba yake.
 
Matambo mengine bwana !! Brevis ni gari unayoweza nunua kwa salio la M Pesa. Haizidi 15m.
Kelele za nini?
Hivi wenya gari za 100m hadi 300m watasemaje?
Watu wanazikimbia toyota brevis kuwa zinakula mafuta na spare ni ghali sana, kumbe ukiona mtu anendesha brevis ujue huyo ni mwanaume haswaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Matambo mengine bwana !! Brevis ni gari unayoweza nunua kwa salio la M Pesa. Haizidi 15m.
Kelele za nini?
Hivi wenya gari za 100m hadi 300m watasemaje?


Sent using Jamii Forums mobile app
Itakua amejaribu kuliuza hili jini bila mafanikio kwa kukosa wateja akaamua ajifariji kwa kuliita gari la wanaume, wakati mie huku kitaa naona wamama watu wa makamo wanasukuma hizi ndinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji123][emoji109]
Tatizo la brevis ni bei yake haiendani na gharama zake za uendeshaji iko very cheap
so vijana tunaojichanga huku na huku miaka 3 kupata 12m ya usafiri ni ngumu kumanage huduma zake

kwa maisha yetu ya kibongo hayaa yoyote anaemiliki gari hata iwe paso na anadrive bila shida yoyote ni wakupewa heshima tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom