kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,257
- 12,244
Kwa sababu anachinjwa sana barabaraniUnajua kwanini anaitwa mnyama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu anachinjwa sana barabaraniUnajua kwanini anaitwa mnyama?
Hicho chombo kilitakiwa kuwa na speed 300, maana pulling yake ni balaaNaam mkuu Crown Majesta ina 4300 CC ya kuanzia 2009 ni kali sana inaamsha kama Land Cruiser V8 shida gari za Japan wanabania speed ni 180 tu
Nipe 100 nikuletee 10 sio used in TzNakupa 70m, nataka 10 , zisiwe used in Tz
Mkuu hiyo kitu ingine kabisa! Tena huwa napata taabu sana Na barabara zetu hizi . very comfortable, haiyumbi barabarani. Speed kwa Barbara zetu hizi humalizi- Ndio kero!!Aisee... kweli mpishe tu, maana haina namna
Yote hayo ni ushuzi , iwe BMW,BENZi , VOX nk , tutengeneze ya kwetu watanzania , wa ulaya wanalinda masoko yao , sie ndio tunachekelea na kushabikia maendeleo ya wenzetu , sie linìi?wewe..Brevis ni takataka...hamna gari humo. Gari za ukweli zinazoeleweka na kuheshimika ni BENZ, BMW, AUDI nk achana na huo ushuzi. Tatizo kubwa la wabongo hawajui vitu vizuri, wanafuata mkumbo tu. Takataka kama Brevis sijui Noah voxy ulaya haziruhusiwi kabisa na hutaziona barabarani hata kwa dawa
Hamiemieni kwa mjerumaniHicho chombo kilitakiwa kuwa na speed 300, maana pulling yake ni balaa
Endelea kujitoa akiliKwa sababu anachinjwa sana barabarani
Mjapani anatubania sana speedHamiemieni kwa mjerumani
We muongo maelezo yako yenyewe yanakinzanaKuna mwenzako alitaka kufa kwa ligi kama hizo. Aliyaovertake magari yote,mbele yake kulikua na gari ndogo ambayo kwa mealezo yake ilikua ni kama gari za toyota. Sasa wakati anajaribu kulipita,jamaa anaongeza kidogo sana. V8 akikanyaga hadi 230kph,jamaa anaibia kidogo kwa ujanja. V8 ilitoa harufu ya kwenye clutch kuelemewa.
Jamaa akamuonyesha kuwa wewe V8 LandCruiser si lolote,akachochea na kumuacha kama amesimama. Kumbuka hiyo ilikua ni saloon Car,hopefully AUDI,anakadiria ni zile zenye speed 260kph hadi 300kph,usicheze na hizo mashine,hakuna cha V8 wala nini.
Bila shaka ndio gari yako ya kwanza kumilikiEndelea kujitoa akili
Japan labda hizi VX Gx lakini saloon car sina mpango. Ni kwa vile ni fibre tu. Sasa akiweka speed atawaua. Benzi ya jarumani ni vyuma Na Bari ngumu mwanzo mwishoMjapani amatubania sana speed
Hapa ni Afrika mkuu sio ulaya lazima twende sawa na hali yetu.wewe..Brevis ni takataka...hamna gari humo. Gari za ukweli zinazoeleweka na kuheshimika ni BENZ, BMW, AUDI nk achana na huo ushuzi. Tatizo kubwa la wabongo hawajui vitu vizuri, wanafuata mkumbo tu. Takataka kama Brevis sijui Noah voxy ulaya haziruhusiwi kabisa na hutaziona barabarani hata kwa dawa
Na ametuteka kweli kweli mkuuJapan labda hizi VX Gx lakini saloon car sina mpango. Ni kwa vile ni fibre tu. Sasa akiweka speed atawaua. Benzi ya jarumani ni vyuma Na Bari ngumu mwanzo mwisho
Kwa nini isitoe wakati unatumia pupa kuipata 230kph,kumbuka hiyo ilikua ya 240kph.Mkuu ndio maana nilitoa tahadhari, huo ni ufisadi wa barabarani.
Lakini mashine niliyokuwa nayo ni mpaka 260km/hr.
V8 itoe harufu at 230km/hr, labda ilikuwa mbovu!
Hata hivyo kufikia spidi hizo sijawahi maana barabara zetu sioni sehemu za kwenda 260~300km/hr.
Halafu akikatisha mbwa tu kama huja roll unapata damage kubwa tu.
Ni kweliMkuu ndio maana nilitoa tahadhari, huo ni ufisadi wa barabarani.
Lakini mashine niliyokuwa nayo ni mpaka 260km/hr.
V8 itoe harufu at 230km/hr, labda ilikuwa mbovu!
Hata hivyo kufikia spidi hizo sijawahi maana barabara zetu sioni sehemu za kwenda 260~300km/hr.
Halafu akikatisha mbwa tu kama huja roll unapata damage kubwa tu.
Makosa makubwa. Brevis mafuta ya Tsh 10,000? Hiyo ni bajet ya Paso,Vits na IST. Angalau Tsh 25,000 na kuendelea,tena weka kwa wakati mmoja.Brevis sio poa, ilichotufanyia kweny harusi ya ndugu yangu dah. Gar ilichukuliwa temeke tukaiwekea mafuta ya bukuten, ikafika tandika kumchukua baba harusi kuelekea safar ya kitunda. Ile tunafika buza ikawekewa mafuta mengne ya bukuten, tukafika kitunda tukaoa then tukageuza, ile bwana na bibi harus wanashuka tu, tunaambiwa haiwezi kutoka mafuta yamekata... Kila mtu anashangaa yameishaje...
Mkuu hajwahi kuona moto wake.We muongo maelezo yako yenyewe yanakinzana
Na bei ya gari za Japan ni competitive (rahisi) hizi saloon.Na ametuteka kweli kweli mkuu
Wazazi tukiwatuma mpeleke vitu kwa bibi zenu kijijini ndo michezo yenu hiyoMkuu sina hicho kitu ila nilikipata mahsli ili niende nacho mkoani.
Ni balaa!
Jamaa hapa wanaihusudu Brevis, lakini hiyo ni no contest mbele ya hii mi V8.
Kwa mchezo tu, mbele yangu niliona Brevis, at 140 ~150km/hr.
Akiona nakuja Brevis akaongeza mwendo hadi 160kmhr.
Nikampa 180km/hr naye akaongeza tukawa sambamba.
Hizo ni spidi kali, lakini mbuga inaruhusu.
Unaona mbelebhadi kilometa mbili, hakuna gari mbele.
Hapo ikabidi nionyeshe heshima ya ya V8.
Acceleration hadi 200~210km/hr ikatosha kumuacha Brevis.
TAHADHARI: huu mchezo ni hatari sana