Toyota Brevis na heshima zake

Toyota Brevis na heshima zake

Naam mkuu Crown Majesta ina 4300 CC ya kuanzia 2009 ni kali sana inaamsha kama Land Cruiser V8 shida gari za Japan wanabania speed ni 180 tu
Hicho chombo kilitakiwa kuwa na speed 300, maana pulling yake ni balaa
 
wewe..Brevis ni takataka...hamna gari humo. Gari za ukweli zinazoeleweka na kuheshimika ni BENZ, BMW, AUDI nk achana na huo ushuzi. Tatizo kubwa la wabongo hawajui vitu vizuri, wanafuata mkumbo tu. Takataka kama Brevis sijui Noah voxy ulaya haziruhusiwi kabisa na hutaziona barabarani hata kwa dawa
Yote hayo ni ushuzi , iwe BMW,BENZi , VOX nk , tutengeneze ya kwetu watanzania , wa ulaya wanalinda masoko yao , sie ndio tunachekelea na kushabikia maendeleo ya wenzetu , sie linìi?
 
Kuna mwenzako alitaka kufa kwa ligi kama hizo. Aliyaovertake magari yote,mbele yake kulikua na gari ndogo ambayo kwa mealezo yake ilikua ni kama gari za toyota. Sasa wakati anajaribu kulipita,jamaa anaongeza kidogo sana. V8 akikanyaga hadi 230kph,jamaa anaibia kidogo kwa ujanja. V8 ilitoa harufu ya kwenye clutch kuelemewa.
Jamaa akamuonyesha kuwa wewe V8 LandCruiser si lolote,akachochea na kumuacha kama amesimama. Kumbuka hiyo ilikua ni saloon Car,hopefully AUDI,anakadiria ni zile zenye speed 260kph hadi 300kph,usicheze na hizo mashine,hakuna cha V8 wala nini.
We muongo maelezo yako yenyewe yanakinzana
 
wewe..Brevis ni takataka...hamna gari humo. Gari za ukweli zinazoeleweka na kuheshimika ni BENZ, BMW, AUDI nk achana na huo ushuzi. Tatizo kubwa la wabongo hawajui vitu vizuri, wanafuata mkumbo tu. Takataka kama Brevis sijui Noah voxy ulaya haziruhusiwi kabisa na hutaziona barabarani hata kwa dawa
Hapa ni Afrika mkuu sio ulaya lazima twende sawa na hali yetu.
 
Mkuu ndio maana nilitoa tahadhari, huo ni ufisadi wa barabarani.
Lakini mashine niliyokuwa nayo ni mpaka 260km/hr.
V8 itoe harufu at 230km/hr, labda ilikuwa mbovu!

Hata hivyo kufikia spidi hizo sijawahi maana barabara zetu sioni sehemu za kwenda 260~300km/hr.
Halafu akikatisha mbwa tu kama huja roll unapata damage kubwa tu.
Kwa nini isitoe wakati unatumia pupa kuipata 230kph,kumbuka hiyo ilikua ya 240kph.
 
Mkuu ndio maana nilitoa tahadhari, huo ni ufisadi wa barabarani.
Lakini mashine niliyokuwa nayo ni mpaka 260km/hr.
V8 itoe harufu at 230km/hr, labda ilikuwa mbovu!

Hata hivyo kufikia spidi hizo sijawahi maana barabara zetu sioni sehemu za kwenda 260~300km/hr.
Halafu akikatisha mbwa tu kama huja roll unapata damage kubwa tu.
Ni kweli
 
Bila shaka ndio gari yako ya kwanza kumiliki
Brevis.jpg

Mnyama wa msimbazi
 
Brevis sio poa, ilichotufanyia kweny harusi ya ndugu yangu dah. Gar ilichukuliwa temeke tukaiwekea mafuta ya bukuten, ikafika tandika kumchukua baba harusi kuelekea safar ya kitunda. Ile tunafika buza ikawekewa mafuta mengne ya bukuten, tukafika kitunda tukaoa then tukageuza, ile bwana na bibi harus wanashuka tu, tunaambiwa haiwezi kutoka mafuta yamekata... Kila mtu anashangaa yameishaje...
Makosa makubwa. Brevis mafuta ya Tsh 10,000? Hiyo ni bajet ya Paso,Vits na IST. Angalau Tsh 25,000 na kuendelea,tena weka kwa wakati mmoja.
 
Mkuu sina hicho kitu ila nilikipata mahsli ili niende nacho mkoani.
Ni balaa!
Jamaa hapa wanaihusudu Brevis, lakini hiyo ni no contest mbele ya hii mi V8.

Kwa mchezo tu, mbele yangu niliona Brevis, at 140 ~150km/hr.
Akiona nakuja Brevis akaongeza mwendo hadi 160kmhr.
Nikampa 180km/hr naye akaongeza tukawa sambamba.
Hizo ni spidi kali, lakini mbuga inaruhusu.
Unaona mbelebhadi kilometa mbili, hakuna gari mbele.

Hapo ikabidi nionyeshe heshima ya ya V8.
Acceleration hadi 200~210km/hr ikatosha kumuacha Brevis.
TAHADHARI: huu mchezo ni hatari sana
Wazazi tukiwatuma mpeleke vitu kwa bibi zenu kijijini ndo michezo yenu hiyo
 
Back
Top Bottom