x-factor
Senior Member
- Aug 20, 2012
- 181
- 212
Jamaa si katoa mawazo yake sio lazima ukubalianenae, sasa mbona wew umeleta majina ya brand za magari tu apo, na sio magari halisia, mtu anaweza miliki Toyota brevis yenye ubora kuliko BMW, siku nyingine uwe ukitaka kufananisha uwe unakuwa specific kidogo,Yaani bila aibu unakuja kusifia toyota brevis? Uwe serious.unaona ni heshima kuwa na toyota brevis? Sasa na wenye magari nao waje waseme nini? Muwe serious...siyo mkinunua tu gari mnakuja kutupamba humu.na wenye magari wamenyamaza.
Unasifia toyota brevis na wamiliki wa BMW wamo, na wamiliki wa BENZ wamo humu, na wamiliki wa Range, Audi, Bentley, Escarade wamo wamenyamaza.