Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Duuh aisee bi mkubwa mbona umefika mbali sana.Kama mashoga na wauza miili wanavyobadili I phones Tanzania.
Una ushahidi na hilo??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh aisee bi mkubwa mbona umefika mbali sana.Kama mashoga na wauza miili wanavyobadili I phones Tanzania.
Wakuu.
Kuna hii generation ya tisa ya Toyota Camry mpya, model code XV80, itakayoingia mzigoni mwakani (2025) aisee ina kila sifa za kua gari kali, kuanzia muonekano ndani na nje hadi performance yake.
View attachment 3094983
Kwa muonekano wa nje, inakuja kwa shape ya sedan tu, na mbele imechukua new generation ya Prius na Crown, ila chasis imebaki ya generation ya nyuma.
View attachment 3094984
Nyuma kuna LED tail lights zilizoingia hadi kwenye buti, na chini exhaust pipe zimefichwa kwa chini.
Kwa ndani chuma ipo classy sana. Kuna screen kubwa yenye Apple CarPlay na Android Auto, pia ina instrument cluster moja ya LCD tamu sana.
View attachment 3094985
View attachment 3094987
View attachment 3094990
Kwa upande wa engine, Kuna option ya hybrid au pure gasoline, zikija na engine ya 2.0L au 2.
Hayo mabox wewe unayo.Mabox tu hayo
Assemblers
Toyota gari pekee aliyoumiza kichwa ni Landcruiser basi,mimi siendeshi any saloon car made by toyota,kuna subaru,nissan ,suzuki etcHayo mabox wewe unayo.
Maisha ya duniani ni mafupi sana ila pamoja na kuwa mafupi hakikisha vitu vizuri vipitie kwako.
🤣🤣🤣🤣