[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa kwa ma cc hayo alafu gari yenyewe iko chini namna hiyo!
Cc hizo zinafaa uwe na kitu kama hiyo landcruiser, popote inakupeleka.
Kagari ka chini namna hiyo kwangu isizidi cc 2000
Majesta used ipi ? Zipo zinagonga hadi 100 million.. hapo bado kodi kodi za TRAV8? Ulimaanisha Landcruiser V8?...mkuu Landcruiser V8 uwe na 300M+ ba hiyo Majesta used sidhani kama inafika 50M
Mie ukiweka hapo hiyo V8 LC 200 na Sedan.. nachukua sedan hakuna gari nizizo zipenda kama za juu kama hayo ma viieteee[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa kwa ma cc hayo alafu gari yenyewe iko chini namna hiyo!
Cc hizo zinafaa uwe na kitu kama hiyo landcruiser, popote inakupeleka.
Kagari ka chini namna hiyo kwangu isizidi cc 2000
SUV inanipa confidence ya kwenda popote, wakati wowote.Mie ukiweka hapo hiyo V8 LC 200 na Sedan.. nachukua sedan hakuna gari nizizo zipenda kama za juu kama hayo ma viieteee
Range cc 3000 kwa wese la 150,000/= unaingia Iringa town.Kama naenda mwanza.. kwa hayo mahesabu itanitoka shilingi ngapi mkuu ? Najua kuna mwaba mmoja ana range sasa siju nae huwa ananiokota, sijakaa kufatilia.. huwa ananiambia hadi morogoro buwa anafukia kama 300,000 au 250,000.. huwa nasema sawa.. hongera 😀😀😀
Huwa nasema tu sawa.. hata mtu akinifunga kamba.. yake najua ni HSE V8 za petrol.. na mwendo pia wa jamaa sio wa fujo nyingi.. ila bado huwa nakuwa na mashaka.. ingawa nilisikiaga HSE V8 zinakata sana wese.. ila kwa 300,000 to morogoro ndio nilipata mashaka labada kama aliteleza kinyaniRange cc 3000 kwa wese la 150,000/= unaingia Iringa town.
Sure kuna maeneo Sedan inaumiza kichwa hata kama unapitaz inabidi upige mahesabu makali sana.. na kuna maeneo haziendi kabisa.. maana kuna sehemu hata SUV za kichovu hazikatishiSUV inanipa confidence ya kwenda popote, wakati wowote.
Sedan itanifanya niwaze mengi kabla sijaanza safari.
Kwanini mkuu maana kama ni ukubwa wa injini zote zipo sawaHilo linaku la safari tu[emoji16][emoji16]
Mkuu hata hii ni V8.Cc 4300 si bora ninunue v8 tu?
Hah haha haha haha Kuna ndinga zinatembea na ziko economy kuliko hilo jina NjundeHiyo ndinga Bana juzi nilipaki karibu yake ikabidi niulize kuhusu fuel consumption Kwa Dereva aliyekuwa anaendesha akaniambia kuwa ameweka mafuta ya tsh 30000 kutoka Tabata Kimanga na alipofika Kariakoo kupaki na taa ilikuwa inawaka.
Haya Magari kama unasafiri Safari ndefu sidhani Kama huko njiani kuna Chuma itakatiza mbele yako.
Sawa..Mkuu hata hii ni V8.
Sasa sijui ulimaanisha nini.
AbsolutelySawa..
Namaanisha kwa ukubwa huo wa injini kwenye kagari kafupi namna hiyo bora ninunue landcruiser v8
Huwa inatumia umeme zaidi mafuta sio kiivyoHiyo ndinga Bana juzi nilipaki karibu yake ikabidi niulize kuhusu fuel consumption Kwa Dereva aliyekuwa anaendesha akaniambia kuwa ameweka mafuta ya tsh 30000 kutoka Tabata Kimanga na alipofika Kariakoo kupaki na taa ilikuwa inawaka.
Haya Magari kama unasafiri Safari ndefu sidhani Kama huko njiani kuna Chuma itakatiza mbele yako.
hii ya chini mkuu.. nilikuwa nachungulia kwa ndani jamaa ametulia. Maana nilikuwa na mkangafu wangu tupo nae sambamba 😩😩
'akielewa niliyemqoute inatosha
Sio mchezo kweli anainjoyhii ya chini mkuu.. nilikuwa nachungulia kwa ndani jamaa ametulia. Maana nilikuwa na mkangafu wangu tupo nae sambamba 😩😩