Toyota Crown Majesta second generation S180

Toyota Crown Majesta second generation S180

Hilo linaku la safari tu[emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa kwa ma cc hayo alafu gari yenyewe iko chini namna hiyo!

Cc hizo zinafaa uwe na kitu kama hiyo landcruiser, popote inakupeleka.

Kagari ka chini namna hiyo kwangu isizidi cc 2000
 
V8? Ulimaanisha Landcruiser V8?...mkuu Landcruiser V8 uwe na 300M+ ba hiyo Majesta used sidhani kama inafika 50M
Majesta used ipi ? Zipo zinagonga hadi 100 million.. hapo bado kodi kodi za TRA
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa kwa ma cc hayo alafu gari yenyewe iko chini namna hiyo!

Cc hizo zinafaa uwe na kitu kama hiyo landcruiser, popote inakupeleka.

Kagari ka chini namna hiyo kwangu isizidi cc 2000
Mie ukiweka hapo hiyo V8 LC 200 na Sedan.. nachukua sedan hakuna gari nizizo zipenda kama za juu kama hayo ma viieteee
 
Kama naenda mwanza.. kwa hayo mahesabu itanitoka shilingi ngapi mkuu ? Najua kuna mwaba mmoja ana range sasa siju nae huwa ananiokota, sijakaa kufatilia.. huwa ananiambia hadi morogoro buwa anafukia kama 300,000 au 250,000.. huwa nasema sawa.. hongera 😀😀😀
Range cc 3000 kwa wese la 150,000/= unaingia Iringa town.
 
Range cc 3000 kwa wese la 150,000/= unaingia Iringa town.
Huwa nasema tu sawa.. hata mtu akinifunga kamba.. yake najua ni HSE V8 za petrol.. na mwendo pia wa jamaa sio wa fujo nyingi.. ila bado huwa nakuwa na mashaka.. ingawa nilisikiaga HSE V8 zinakata sana wese.. ila kwa 300,000 to morogoro ndio nilipata mashaka labada kama aliteleza kinyani
 
SUV inanipa confidence ya kwenda popote, wakati wowote.

Sedan itanifanya niwaze mengi kabla sijaanza safari.
Sure kuna maeneo Sedan inaumiza kichwa hata kama unapitaz inabidi upige mahesabu makali sana.. na kuna maeneo haziendi kabisa.. maana kuna sehemu hata SUV za kichovu hazikatishi
 
Hiyo ndinga Bana juzi nilipaki karibu yake ikabidi niulize kuhusu fuel consumption Kwa Dereva aliyekuwa anaendesha akaniambia kuwa ameweka mafuta ya tsh 30000 kutoka Tabata Kimanga na alipofika Kariakoo kupaki na taa ilikuwa inawaka.

Haya Magari kama unasafiri Safari ndefu sidhani Kama huko njiani kuna Chuma itakatiza mbele yako.
Hah haha haha haha Kuna ndinga zinatembea na ziko economy kuliko hilo jina Njunde
 
Hiyo ndinga Bana juzi nilipaki karibu yake ikabidi niulize kuhusu fuel consumption Kwa Dereva aliyekuwa anaendesha akaniambia kuwa ameweka mafuta ya tsh 30000 kutoka Tabata Kimanga na alipofika Kariakoo kupaki na taa ilikuwa inawaka.

Haya Magari kama unasafiri Safari ndefu sidhani Kama huko njiani kuna Chuma itakatiza mbele yako.
Huwa inatumia umeme zaidi mafuta sio kiivyo
 
Extrovert leo nimekutana na Lexus Ls460 namba T ... DUU kitu kimetulia kinoma.. mitaa ya palm beach
Au kama hili la 2013

68FDB994-1D76-4465-8887-12A2F670C85B.jpeg


E1C2FF4D-D99A-44D5-9822-8794B63AE829.jpeg
 
Back
Top Bottom