Abubakar Abdallah
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 281
- 170
Haya tirika sasaa na tupia na video km unaweza kusapoti jibu lako...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zikiwa offroad...?gari za Toyota kufananisha na gari za ford ni DHAMBI KUBWA SANA
[emoji23][emoji23][emoji23]Wenye BMW hapa haturuhusiwi kucomment
Naamini tuko pamoja[emoji23][emoji23][emoji23]
Ruksaaaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Wenye BMW hapa haturuhusiwi kucomment
Naamini tuko pamoja
Uzoefu na hayo nagari sina mkuuRuksaaaaaaa
Tena makosa makubwa kwa kweli yani makubwa mno.gari za Toyota kufananisha na gari za ford ni DHAMBI KUBWA SANA
Mi hata baiskeli sina jamanNaamini tuko pamoja
Acha kufananisha Ford Ranger na vitu vya kijinga aisee!Haya tirika sasaa na tupia na video km unaweza kusapoti jibu lako...
sure ume sema ukweli, ndo maana mzunguu akija africa gari yake sio saloon, ni cruiser mkonge, land cruiser amazon, yani zile cruiser zenywe diff ya mbele au tube housing, yani gari yoyote ukiona mbele ina kale ka bichwa ujue heshima asa fortuner ni luxury saana haikawi kuvunja drive shaft.Acha kufananisha Ford Ranger na vitu vya kijinga aisee!
Ukiacha Toyota land cruiser mkonga, Toyota hana gari nyingine zaidi ya mbolea mbolea tu!
YESZikiwa offroad...?
Sawa pia akijitolea mtuKwa hiyo unataka kuhongwa ama?
Shule zimefungwa mara hii???mkuu mie fan saana wa offroad, kwa ufupi nimeangalia gari nyingi tofauti tofauti offroad, kusema ukweli fortuner offroad hamna kitu, kwa hizo mbili ford ranger hipo vizuri, nimeshaona fortuner hiki perform bado yani.
fortuner hata mbele ya Suzuki Jimny inakaa.
😀 asante ubarikiwi, vipi wewe?Shule zimefungwa mara hii???