Master of the game
JF-Expert Member
- Sep 1, 2016
- 5,858
- 2,697
Nipatie namba yako pm tujaribu kuzungumza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari Boss,Carina TI ipo, kama upo serious ni pm namba yako
Mkuu ni pm nina rav4 kama tatu hivi nazitoa kwa bei nzur
.
.
.
Kyenekyaka mkighanile une
Kila la Heri MkuuNahitaji grand vitara au Kruger it's urgent
Nicheki 0757865489
Nina Duet nikuletee?Gari imetulia vipi una carina TI ama alteza.? au rv 4 budget yangu ni ml 7
Mkuu yeye anataka tiNina Duet nikuletee?
Noma carina ti #b inatakiwa 6mln rangi nyeupe,Iko rangi ya silver namba c inatakuwa 7.5mln....zote Ziko vizuri n'a hazidaiwiMkuu yeye anataka ti
Haina Tatizo lolote kamamdaMbona miezi mitano tu unaamua kuuza usikute ina tatizo kubwa.
Una zikubali vipi wakati mtu wenyewe hata baiskeli hujaendeshaIpo vizuri .
Nazikubali sana hizi gari
Watejaaaaaaa
Mkuu mtu kukubali kitu sio lazima awe nacho. Inawezekana amefanya reseachUna zikubali vipi wakati mtu wenyewe hata baiskeli hujaendesha