Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1.5Lita moja inaenda kilomita ngapi?
Nam nmeishia hapo hapoNimeishia kwenye ukubwa wa injini cc 2990,
Asante mkuu nilikuwa nafikiria kuinunua hii kwa unywaji huo hapana
Hujui elimu ya magari. Hata landcruiser VX hainywi hivi...
Sasa wewe ulikua wap kumjibu unaejua?Hujui elimu ya magari. Hata landcruiser VX hainywi hivi...
Mafuta mkuu..nadhani ndio sababu hata ya kuuzaNo.A uliipaki wapi hadi iwe na km180,000 tu?
ilikuja na zero km?
Sema unaiuza utaeleweka sio kuweka details za uwongo
Asante ila haina masilahiMil 3.5 cash ipo
Duuh hio unatakiwa umiliki kituo cha mafuta kuweza kuimudu
Lita moja inaenda kilomita ngapi?
Sana mkuu cc2990 majanga hyo inamfaa liwassabei imepoa ila kwenye mtungi wa mafuta sasa ndo shida