Toyota Hilux: Hi chuma TRA hawataki tuimiliki

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Mi hadi nachoka. Hawa jamaa bwana. Naikuta single cabin CIF $6,000 (mil 16) uko Beforward.



Hafu eti ushuru sasa wa TRA mil 28 unalipa. Karibia mara mbili ya bei ya kununua.



Gari ya kazi tunabaniana. Sasa ukigusa double cabin unakuta CIF kubwa na ushuru 30+
 
Hawa wataalam wa TRA ndiyo wale Kishimba anasema wanajua kusoma na kuandika.

Sasa hiyo Hilux ukinunua unaweza walau kusombea mahindi na mbolea shambani. Kodi yake 28mil!

Je ikiwa Envogue watakudai kodi ya Mil ngapi?
 
Bila raia kuchallenge hizi sheria za kodi mahakamani wataendelea kulia kila siku. Gari kama hiyo ya kazi ilitakiwa ukilipa tu milioni 16 unaondoka nayo na serikali inakuongezea hela ya mafuta ili kuifikisha nyumbani
 
Hiyo ni calculator mtandaoni ambayo inakupa mwanga ni kiasi gani cha kodi.

Ila ukiangalia kwenye calculator CIF ni 11,000/= na wewe CIF ni 6,000) = so ukija kwenye paper work hiyo kodi inapungua pakubwa sana.
 
Hiyo ni calculator mtandaoni ambayo inakupa mwanga ni kiasi gani cha kodi.

Ila ukiangalia kwenye calculator CIF ni 11,000/= na wewe CIF ni 6,000) = so ukija kwenye paper work hiyo kodi inapungua pakubwa sana.
Umewahi kuagiza gari mkuu? No offense.

Kodi iliyowekwa na TRA haishuki kabda ipande tu.
 

Hii nchi sio kabisa, ushuru pekee unanunua gari mbili kama hizo, aise jahannam itasomba wengi sana mkuu.
 
Serikali kila sehemu wanachukua kodi, hawakuachi ukarelax
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…