Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,449
- 25,768
tuombe watembea kwa miguu tujengewe barabara zetu juu...hao na magari yao wapite chini.[emoji17][emoji17]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tuombe watembea kwa miguu tujengewe barabara zetu juu...hao na magari yao wapite chini.[emoji17][emoji17]
Hata huko zitaota mbawa akyanani...!!!tuombe watembea kwa miguu tujengewe barabara zetu juu...hao na magari yao wapite chini.
Tatizo mleta mada kaleta stori kikanjanja kwamba sababu ya ajali ni Toyotasawa lkn tunaongelea general kuhusu tabia za vijana huko barabarani na toyota/bmw/audi/benzi zao.
Kisahani tatizo kaka ila kama una familia kidogo nidhamu Ipo, sasa hivi sina tofauti na Kobe.
tununue ya kwetu na sisi...hakuna namna sasaHata huko zitaota mbawa akyanani...!!!
Aligongwa na Lori?msilete upotoshaji hapa chali wa crown yeye ndo kagongwa chakushangaza timu Bmw wamemgeuzia kibao na kuisakama Toyota bila sababu
Ngoja kwanza tuchome fat kwa kutembea🤓tununue ya kwetu na sisi...hakuna namna sasa
Tatizo mzee wangu mshana halipo kwenye gari Bali lipo kwa watumizi wa magari (Madereva) hivi kwani ukiendesha gari kwa umakini wa hali ya juu kabisa unapokuwa njiani na kuendesha kwa "speed" ya kistarabu unahisi yatatokea hayo, ila pia tukumbuke kuwa Kila mtu amepangiwa na MwenyeziMungu yakuwa vipi ataondoka (kufa) katika hii dunia, na wapi roho yake itatoka na wakati gani. Jambo lamuhimu ni kuzingatia utaratibu mzuri wa kuendesha magari na Sheria za Barabarani.Si kwamba nazikandia hizi gari za kijapan la hasha. Nimewahi kuzimiliki Chaser mayai na balloon GX90. Kila moja imevuma kwa nyakati zake. Zikisifika kwa wepesi mwendo (kuchanganya haraka) kiyoyozi kama Greece land. Zimepita model nyingi.
Tunamalizia enzi za Harrier TAKO LA NYANI zimechuja haraka baada ya nyingi kupiga chini.
TOYOTA crown bado iko juu lakini nayo inaendelea kuchinja watu. Simlaumu mjapani katengeneza kwa matumizi yake na taratibu zake. Huku hatuzingatii hili kabisa
Mwisho tunaishia kulaumu na kusema TOYOTA hizi lakini pamoja na kuwa na viwango vidogo vya usalama kulinganisha na gari za ulaya bado tatizo ni letu sisi wenyewe.
ELIMU JUU YA VYOMBO VYA MOTO hasa gari nyepesi za kijapani tumepoteza damu changa nyingine Kabuku. Damu ya Rchunga... Rip [emoji1019] View attachment 1105974View attachment 1105975View attachment 1105976
Ha ha ha kawaulize Kigwangala na Mwigulu Nchemba...Kisha uhamie kwa Nape Nnauye na Mh. SuguDawa ni kununua Toyota yenye stability ya treni na spidi ya ndege, namaanisha mnyama, sio hizo karatasi nyepesi
Habari ya asubuhi mkuu,Msamvu umeisha ifagia? Kama bado naomba niunge tela niponeemo kafaini ka spidi.Ajali ya mtu mwingine haiwezi kunifanya niongope kukanyaga mafuta..... Kesho asubuhi na safari ya Mbeya+Tunduma nikitoka Dar saa kumi na mbili asubuhi nataka saa kumi niwe Tunduma.... Nimesha andaa na hela ya faini kabisa ya matrafiki
Ndiyo mkuu akawa hana namnaAligongwa na Lori?
chali kagongwa aisee,hivi unajua kupigwa na lori wewe?Kaitekenya crown ikatekenyeka.RIP
Ni kweli, na bila kusahau real chassis.. Ukiangalia magari madogo yenye chassis ya ukweli kama Mitsubish usalama wake ni mkubwa hasa pale inapotokea ajali ya uso kwa uso.Lakini ni body mbili tofauti kabisa... Gari za ulaya usalama umezingatiwa mno hasa kwenye body
Chalii aliingia chini ya lorichali kagongwa aisee,hivi unajua kupigwa na lori wewe?
Nidhamu barabarani na utii wa sheria na kanuni za drivingTukubaliane kuwa pamoja na kazi ya Mungu ila haya huchangia:
-Mwendo mkubwa wa dreva ambao hauendani na ubora wa barabara
-Kuemdesha safari ndefu na uchovu
-Kuwa katika hali ya ulevi
-Mzuka tu wa kutaka "kulifaidi" gari
Je speed kubwa na kuto kuwa makini barabarani kwa gari ya mjerumani huwezi kupata ajari??Ndo maana naomba Mungu abariki kazi za mikono yangu ili kupata money niachane na mjapani nihamie kwa mjerumani!