Angalia na Volvo(The Safest Car in the World)Huko kwenye blue iliyokoza na iliyopauka ndio kumewekwa reinforcement za uhakika.... Na hapa wamezingatia sana head collision na kupinduka.... Mjapan huko kaweka vyuma lainiView attachment 1106210
huyu shetani si angechukua tu gari kama alivyochukua langu likiwa na mwezi 1 barabarani.sasa huyu kijana amechukua wa nini ukute ameacha hata binti wa watu ana ujauzito wa wiki 2. **** satan.
Ni kuwa na tahadhari wakati wote tuwapo barabarani.Sasa tufanyeje?
Kumbe sikukosea kununua hii gari V40 speed 260Angalia na Volvo(The Safest Car in the World)
View attachment 1106238View attachment 1106238
Soma hio RED....ultra high strength STEEL
Speedometerkuna ka neno kanatumika ''kasahani'' sijui kanamaanisha nini?
Ni kuwa na tahadhari wakati wote tuwapo barabarani.
Ipsum ni hatare jombiii ,ni nyepesi balaaa 100km/hryake ni kama 130km/hrAiseee nimekoma kuna siku niko na ipsum yangu natokea mtwara nipo 145+ speed kwa kweli nimejifunza sahv max speed ni 100
Picha inamuonyesha marehemu kabla ya ajali,na baada ya ajali...swali MPIGA picha kabla ya ajali nani? maana hii picha inaonyesha imepigiwa kati kati ya safari na marehemu hakuwa peke ake kuna mtu alikua nae na ndie alie mpiga picha,swali ni picha nani kazipiga Hasa hyo ya kwanza marehemu akiwa hai.Si kwamba nazikandia hizi gari za kijapan la hasha. Nimewahi kuzimiliki Chaser mayai na balloon GX90. Kila moja imevuma kwa nyakati zake. Zikisifika kwa wepesi mwendo (kuchanganya haraka) kiyoyozi kama Greece land. Zimepita model nyingi.
Tunamalizia enzi za Harrier TAKO LA NYANI zimechuja haraka baada ya nyingi kupiga chini.
TOYOTA crown bado iko juu lakini nayo inaendelea kuchinja watu. Simlaumu mjapani katengeneza kwa matumizi yake na taratibu zake. Huku hatuzingatii hili kabisa
Mwisho tunaishia kulaumu na kusema TOYOTA hizi lakini pamoja na kuwa na viwango vidogo vya usalama kulinganisha na gari za ulaya bado tatizo ni letu sisi wenyewe.
ELIMU JUU YA VYOMBO VYA MOTO hasa gari nyepesi za kijapani tumepoteza damu changa nyingine Kabuku. Damu ya Rchunga... Rip [emoji1019] View attachment 1105974View attachment 1105975View attachment 1105976
European cars you can feel the vibe n strength within it... Japanese unaniona kabisa kuna kitu kinamissKukimbiza gari kuna utamu wake..ukiendesha chombo cha mafuta macho muda wote yacheze kwenye Dashboard la sivyo unaeza jikuta upo speed 170 ukahisi kama gari ipo 40..ukifunga Viooo huwezi hisi kabisa mwendo wa gari.