Toyota imetajwa kuwa gari zinazoaminika zaidi nchini Marekani ikifuatiwa na BMW, Benz ni gari isiyoaminika kabisa

Toyota imetajwa kuwa gari zinazoaminika zaidi nchini Marekani ikifuatiwa na BMW, Benz ni gari isiyoaminika kabisa

Sawa ford haiaminiki lakini kwenye soko la pickup, Toyota tacoma haisogezi mguu kwa hizo ford!!
Ni kweli kwa soko la marekani. Maana wamerakani wao wanapenda sana engine kubwa. Na ford inaengine options zenye engine kubwa. Ila toyota imefocus zaidi katika reliability (uiamara)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona wajerumami wa hapa jf bado wamelala mkuu au wapo chimbo wanatafuta madesa... hahahahaha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wabishi mbwa! Maofisini mwao hawaruhusiwi kuingia na simu, ngoja watoke uone shughuli yake! Mwingine atakuambia " jaribu kugeuza hiyo takwimu juu_ chini chini_juu alafu uone nani anaongoza "[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
American consumer reports inasema Toyota ni gari zinazoaminika zaidi nchini Marekani zikifuatiwa na BMW. Mazda, Honda na Audi.

Magari ya Kimarekani kama Ford, Tesla nk ni magari yasiyoaminika kabisa nchini Marekani.
View attachment 2422412
Uwa nikiwa nasoma maoni ya wamarekani kwenye mitandao mara nyingi huwa wanasifia toyota kuwa ni gari za uhakika kuanzia kazi na kudumu na service zake ni affordable kama sisi tu tunavyozisifia
 
I am half German and work in R&D … with a bunch of Germans. This gives me the presumption to be able to generalize how German engineers think and why this results in less reliable gear (not only cars) in the so called real world. I also had the pleasure to work with a handful of Japanese, Italian, Taiwanese, Chinese and Russian scientists and engineers, yet let me limit this answer to the two you mentioned.

German and Japanese engineers have one thing in common: they will engineer the shit out of every detail. For EVERY BLOODY component! Thus what they build will fail exactly how and in the circumstances they predict it will. So why the difference in reliability? Are the Germans worse at their job?

No. But they do have a fatal flaw: they are German.

Let me explain.

Germans love rules. They follow those rules. German engineers expect people to follow their rules.

When Japanese engineers go on to design a product they ask themselves: “How will the customers use it? How can I prevent failure if they abuse it?”

The German engineer: “I made this machine and it has to be used in this particular way. If the customer abuses it and it fails it is his fault, not mine”.

And so it is. For most German products, if you use them exactly as the manual states and within the conditions it is designed for it is probably going to last indefinitely. Go outside those limits and you can expect it to fail.

Japanese products on the other hand are going to take a beating well outside specs and ask for more.

Just a little anecdote to underline my point.

We (team: PM, Chemist, fluid dynamics engineer, constructor) developed a particular filter designed for a particular kind of water treatment. We designed it in a way such that it would accommodate about 75% of industrial clients and gave a precise spec sheet that specified the working conditions.

After a month a slightly emotional sales manager came into the lab with a sample container containing purple and one containing clear water. He colorfully explained that our filter turned the water purple and that it was a failure.
We analyzed the clear water. It had 2% more than max manganese content. This caused it to precipitate as KMnO4, which is actually a beautiful beast

main-qimg-ac7dd346ced3f90dc9b23b629ed72e23-lq

When the sales manager came back, he was expecting apologies. He was laughed at, declared an imbecile and sent back to the customer with a recommendation.

We had a good time.
Umemaliza vyote mkuu


" When Japanese engineers go on to design a product they ask themselves: “How will the customers use it? How can I prevent failure if they abuse it?”

The German engineer: “I made this machine and it has to be used in this particular way. If the customer abuses it and it fails it is his fault, not mine”. "

Hapa wajerumani wa mbweni, madale, mabwepande watakua wameelewa
 
Umemaliza vyote mkuu


" When Japanese engineers go on to design a product they ask themselves: “How will the customers use it? How can I prevent failure if they abuse it?”

The German engineer: “I made this machine and it has to be used in this particular way. If the customer abuses it and it fails it is his fault, not mine”. "

Hapa wajerumani wa mbweni, madale, mabwepande watakua wameelewa
Maisha ya kufuata ruler kama panya ndio majorite ya watu Duniani hawataki na Wajepu wameshajua watu wanataka nini, sio mtengenezaji anataka nini.
 
When Japanese engineers go on to design a product they ask themselves: “How will the customers use it? How can I prevent failure if they abuse it?”

The German engineer: “I made this machine and it has to be used in this particular way. If the customer abuses it and it fails it is his fault, not mine”.



- kwa usemi huu tu bhasi! Unamaliza mada zote za mjerumani, europe, italy na mjep.

Mwisho wa vikao vya mjerumani mara m'europe
bmw-m3.gif
stanced-audi.gif
drift.gif
p1-slide.gif
 
Maisha ya kufuata ruler kama panya ndio majorite ya watu Duniani hawataki na Wajepu wameshajua watu wanataka nini, sio mtengenezaji anataka nini.
Ishu za hawa wengine wanadumisha dignity za brand tu na sio mahitaji ya mteja ndipo tunapo pishania, na hata ukiangalia wengi wanaotaka magari ya germany hapa tz wengi wana ishu za dignity na kujimwambafai kua ni alama ya mafaniko huku nyie wengine mkiwa baaaado sana kwa level zao
 
Ishu za hawa wengine wanadumisha dignity za brand tu na sio mahitaji ya mteja ndipo tunapo pishania, na hata ukiangalia wengi wanaotaka magari ya germany hapa tz wengi wana ishu za dignity na kujimwambafai kua ni alama ya mafaniko huku nyie wengine mkiwa baaaado sana kwa level zao
Nchi nzima wanunue toyota?.

How foolish your argument may seem.

This thinking capacity is alarming.
 
Ni kweli kwa soko la marekani. Maana wamerakani wao wanapenda sana engine kubwa. Na ford inaengine options zenye engine kubwa. Ila toyota imefocus zaidi katika reliability (uiamara)

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu Toyota kwenye reliability anacheza ligi yake!

Kuhusu injini kubwa huko America anatupia sana sema tu wamerekani naweza kusema ni wazalendo sana kwenye bidhaa zao!!

Mfano ukiangalia full size suv, utakuta tahoe imeiburuza mbali tu SEQUOIA Sokoni...

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
 
Ila hutokaa kusikia usalama na viongozi wa juu wakitumia hizo gari bado tenda zitaenda kwa cardilack na chevrolet
 
Back
Top Bottom