Kentsuhcy Wrudate
JF-Expert Member
- Aug 20, 2019
- 1,075
- 653
Ni kweli kwa soko la marekani. Maana wamerakani wao wanapenda sana engine kubwa. Na ford inaengine options zenye engine kubwa. Ila toyota imefocus zaidi katika reliability (uiamara)Sawa ford haiaminiki lakini kwenye soko la pickup, Toyota tacoma haisogezi mguu kwa hizo ford!!
Hizi hizi rav4 masawe?Mauzo ya Rav 4 huko USA yamenikata kihelehele!!! [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wabishi mbwa! Maofisini mwao hawaruhusiwi kuingia na simu, ngoja watoke uone shughuli yake! Mwingine atakuambia " jaribu kugeuza hiyo takwimu juu_ chini chini_juu alafu uone nani anaongoza "[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naona wajerumami wa hapa jf bado wamelala mkuu au wapo chimbo wanatafuta madesa... hahahahaha
Hapo kwenye spea sasa, wajerumani wa kibada na wa majimatitu wasikusikie[emoji16][emoji16]Nani asiependa Toyota aseee spea unaeza okota dampo ukafunga chuma inaaamsha tu....
Oil yetu SAE 40 freshiii[emoji28][emoji28]
Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
Uwa nikiwa nasoma maoni ya wamarekani kwenye mitandao mara nyingi huwa wanasifia toyota kuwa ni gari za uhakika kuanzia kazi na kudumu na service zake ni affordable kama sisi tu tunavyozisifiaAmerican consumer reports inasema Toyota ni gari zinazoaminika zaidi nchini Marekani zikifuatiwa na BMW. Mazda, Honda na Audi.
Magari ya Kimarekani kama Ford, Tesla nk ni magari yasiyoaminika kabisa nchini Marekani.
View attachment 2422412
Umemaliza vyote mkuuI am half German and work in R&D … with a bunch of Germans. This gives me the presumption to be able to generalize how German engineers think and why this results in less reliable gear (not only cars) in the so called real world. I also had the pleasure to work with a handful of Japanese, Italian, Taiwanese, Chinese and Russian scientists and engineers, yet let me limit this answer to the two you mentioned.
German and Japanese engineers have one thing in common: they will engineer the shit out of every detail. For EVERY BLOODY component! Thus what they build will fail exactly how and in the circumstances they predict it will. So why the difference in reliability? Are the Germans worse at their job?
No. But they do have a fatal flaw: they are German.
Let me explain.
Germans love rules. They follow those rules. German engineers expect people to follow their rules.
When Japanese engineers go on to design a product they ask themselves: “How will the customers use it? How can I prevent failure if they abuse it?”
The German engineer: “I made this machine and it has to be used in this particular way. If the customer abuses it and it fails it is his fault, not mine”.
And so it is. For most German products, if you use them exactly as the manual states and within the conditions it is designed for it is probably going to last indefinitely. Go outside those limits and you can expect it to fail.
Japanese products on the other hand are going to take a beating well outside specs and ask for more.
Just a little anecdote to underline my point.
We (team: PM, Chemist, fluid dynamics engineer, constructor) developed a particular filter designed for a particular kind of water treatment. We designed it in a way such that it would accommodate about 75% of industrial clients and gave a precise spec sheet that specified the working conditions.
After a month a slightly emotional sales manager came into the lab with a sample container containing purple and one containing clear water. He colorfully explained that our filter turned the water purple and that it was a failure.
We analyzed the clear water. It had 2% more than max manganese content. This caused it to precipitate as KMnO4, which is actually a beautiful beast
When the sales manager came back, he was expecting apologies. He was laughed at, declared an imbecile and sent back to the customer with a recommendation.
We had a good time.
Maisha ya kufuata ruler kama panya ndio majorite ya watu Duniani hawataki na Wajepu wameshajua watu wanataka nini, sio mtengenezaji anataka nini.Umemaliza vyote mkuu
" When Japanese engineers go on to design a product they ask themselves: “How will the customers use it? How can I prevent failure if they abuse it?”
The German engineer: “I made this machine and it has to be used in this particular way. If the customer abuses it and it fails it is his fault, not mine”. "
Hapa wajerumani wa mbweni, madale, mabwepande watakua wameelewa
Ishu za hawa wengine wanadumisha dignity za brand tu na sio mahitaji ya mteja ndipo tunapo pishania, na hata ukiangalia wengi wanaotaka magari ya germany hapa tz wengi wana ishu za dignity na kujimwambafai kua ni alama ya mafaniko huku nyie wengine mkiwa baaaado sana kwa level zaoMaisha ya kufuata ruler kama panya ndio majorite ya watu Duniani hawataki na Wajepu wameshajua watu wanataka nini, sio mtengenezaji anataka nini.
Nchi nzima wanunue toyota?.Ishu za hawa wengine wanadumisha dignity za brand tu na sio mahitaji ya mteja ndipo tunapo pishania, na hata ukiangalia wengi wanaotaka magari ya germany hapa tz wengi wana ishu za dignity na kujimwambafai kua ni alama ya mafaniko huku nyie wengine mkiwa baaaado sana kwa level zao
Kafika: huyu ni mjerumani wa fukayosi bado wa kazi mzumbwi hajafikaNchi nzima wanunue toyota?.
How foolish your argument may seem.
This thinking capacity is alarming.
Kwamba Lexus kwa bei ipo at par na akina Mercedes Benz G Wagon?..Lexus hapo ni Toyota pia, iko at par na magari ya kizungu kwa bei. Lexus ni luxurious na very expensive car brand ya Toyota ila iko number 2 hapo.
Kweli mkuu Toyota kwenye reliability anacheza ligi yake!Ni kweli kwa soko la marekani. Maana wamerakani wao wanapenda sana engine kubwa. Na ford inaengine options zenye engine kubwa. Ila toyota imefocus zaidi katika reliability (uiamara)
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulia wewe mjapani wa madale mivumoni kwa mwenda!! Leo mmetukalia kooni hatupumui [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hapo kwenye spea sasa, wajerumani wa kibada na wa majimatitu wasikusikie[emoji16][emoji16]
Hapana mkuu! Hizo rav4 masawe mwisho wake huko kitunda nyantila [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] hapa zinazungumziwa aina hiiHizi hizi rav4 masawe?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hamjawahi kupatikana kama leo walahTulia wewe mjapani wa madale mivumoni kwa mwenda!! Leo mmetukalia kooni hatupumui [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Kwenye hili hatuna pa kuficha uso mkuu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] na hapo bado mjapani mmoja kutoka huko fukushima hajafika wa kupuliza[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hamjawahi kupatikana kama leo walah