wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
😄😄 Nilikua napiga jaramba Sasa ndio naingia mchezoni nikitokea pande za Hiroshima.Kwenye hili hatuna pa kuficha uso mkuu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] na hapo bado mjapani mmoja kutoka huko fukushima hajafika wa kupuliza
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Nyie league zenu Ni za Fiat Panda 4X4 😄😄Sisi wa Landrover tutaongea yetu baadae[emoji38]
Ni takwimu za mchongo hata hivyo, hizi gari wanazosema haziaminiki ndo gari imara kuliko hizo wanazosema haziamininiki, sema bei ndo kisangaHizi takwimu mbona kama za mchongo.
Jeep ni gari imara? Mercedes? Hujui magari basi...Ni takwimu za mchongo hata hivyo, hizi gari wanazosema haziaminiki ndo gari imara kuliko hizo wanazosema haziamininiki, sema bei ndo kisanga
Umeona wapi au unasimuliwa tuJeep ni gari imara? Mercedes? Hujui magari basi...
Tesla nazo uimara wake ni kwasababu tu haina engine wala gearbox. Ila kwa vitu kama kuvujisha maji mvua ikinyesha, wiper kuharibika ovyo.. ni vitu vya kawaida sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mm ninamiliki garage, natengeneza magari hasa haya ya kisasa. Na ninakwambia hamna gari zinazoharibika zaidi kama bmw, merc na audi. Tena zenye engine kubwa ndio znaongoza kua unreliable. Jeep na range yani ndo usiseme kabisa....Umeona wapi au unasimuliwa tu
Hizo Tesla zinazovuja unatengeneza pia!?Mm ninamiliki garage, natengeneza magari hasa haya ya kisasa. Na ninakwambia hamna gari zinazoharibika zaidi kama bmw, merc na audi. Tena zenye engine kubwa ndio znaongoza kua unreliable. Jeep na range yani ndo usiseme kabisa....
Yani ukiwa fundi mzur wa haya magari unatoboa, maana ni magari yanayohitaji kutengenezwa kila mara...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana. Ninaona, nafuatilia huko "duniani"Hizo Tesla zinazovuja unatengeneza pia!?
Mm ninamiliki garage, natengeneza magari hasa haya ya kisasa. Na ninakwambia hamna gari zinazoharibika zaidi kama bmw, merc na audi. Tena zenye engine kubwa ndio znaongoza kua unreliable. Jeep na range yani ndo usiseme kabisa....
Yani ukiwa fundi mzur wa haya magari unatoboa, maana ni magari yanayohitaji kutengenezwa kila mara...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio ubovu, ila common issues zake ni for some reasons ni kati ya gari znazokufa headlights kwa haraka. Zinapata shida pia ktk TCU hii inapelekea gar kua slow ktk kushiftTuambie ubovu wa Mercedes benz c-200 3rd gen
Tatizo common la BMW X5 50D ni lipi?Mm ninamiliki garage, natengeneza magari hasa haya ya kisasa. Na ninakwambia hamna gari zinazoharibika zaidi kama bmw, merc na audi. Tena zenye engine kubwa ndio znaongoza kua unreliable. Jeep na range yani ndo usiseme kabisa....
Yani ukiwa fundi mzur wa haya magari unatoboa, maana ni magari yanayohitaji kutengenezwa kila mara...
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ni madreva wake... [emoji849]Tatizo common la BMW X5 50D ni lipi?
Hivi unajua kuwa Tesla gari zake zote ni za umeme!?Hapana. Ninaona, nafuatilia huko "duniani"
Nafuatilia ilikusudi yakifika na huku nakua najua common issues zake ili niweze kudeal nazo. Ndioivo nafanya kwa magari yote. Kila gari lina common issues zake ambazo ukilog in tu kwenye forums husika unazikuta... sio mpaka uone
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona wajerumami wa hapa JF bado wamelala mkuu au wapo chimbo wanatafuta madesa... hahahahaha
Gari ndio linatakiwa liwe ivo... hio inaitwa "crunch zone" gari linapondeka ila abiria wapone. Imetengenezwa ili likunjike ivo ili kupunguza impact pale ajali inapotokea... tena gari za ujerumani ndio zinakunjika zaidi ya za kijapan.Naona team Toyota mnapongezana, I hope mmeona jana daraja la Tanzanite prado nyeusi imefanya nini baada ya kumgusa Mjerumani kwa nyuma[emoji1787][emoji1787][emoji1787]