MZEE MSASAMBEGU
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 2,780
- 2,555
Wakuu naombeni ushauri kwa mliowahi tumia hii gari..nahitaji gari ninayoweza kusafiri umbali mrefu ie.mbeya-mwanza nikiwa na family jumla watu kama saba hivi..so nilikuwa nataka niagize hii gari je
A.Kwa ambao mnaifahamu hii gari inaweza kuhimili safari za umbali mrefu
B.Vipi ulaji wake mafuta ni kilomita ngapi kwa Lita
C.Nikiagiza kutoka nje ie used car from japan ila iwe latest mpaka naingia nayo barabarani jumla niandae bajeti ya kama sh ngapi
Wakuu nitafurahi nikipata ufafanuzi kutoka kwa wazoefu wa hii gari nimeipenda sana muonekano wake
A.Kwa ambao mnaifahamu hii gari inaweza kuhimili safari za umbali mrefu
B.Vipi ulaji wake mafuta ni kilomita ngapi kwa Lita
C.Nikiagiza kutoka nje ie used car from japan ila iwe latest mpaka naingia nayo barabarani jumla niandae bajeti ya kama sh ngapi
Wakuu nitafurahi nikipata ufafanuzi kutoka kwa wazoefu wa hii gari nimeipenda sana muonekano wake