Car4Sale Toyota IST inauzwa

Car4Sale Toyota IST inauzwa

Anofaby

Senior Member
Joined
Jul 20, 2012
Posts
122
Reaction score
34
e707f7c2395a0d21b37267909ac371c3.jpg

Bei milion 7.5
0654314066
 
Hivi IST inaweza kwenda Mtwara to Mwanza bila kupumzika njiani?
 
Nikupe BMW 3 series 2003, 218i. Unipe hiyo Ist uniongezee na 3M
 
Hivi IST inaweza kwenda Mtwara to Mwanza bila kupumzika njiani?
Inatembea moja kwa moja kama wewe hujaamua kupumzika.. ila automatically safari ya Dar to mwanza lazima utapumzika. Ist haichemshi.. nshawahi endesha IST dar to bukoba nlilala ushirombo.
 
gari nzuri sema ukata tu na majukumu mengine yananibana...

kama unakubali 6 cash.... nipigie simu...

0718 537 216
 
Sikweli mkuu, VX, V8, Rangerover yanauwezo wa kufika bila kupumzika, unakula bites na soda huku unakanyaga gia. Nataka kujua kama ist inaweza au itanilipukia njiani
Hpn kaka kama gari ulikuwa unaitunzwa ka servic nzur unaenda hata congo ila cha kuzingatua ni servic tu ist ni gari nzur sana tena upate yenye 1nz tan cc 1490 hii ni mkataba yan
 
Acheni kudanganyana hakuna gari dunia ya leo inahitaji kupumzishwa kisa kwa sababu ya mwendo mrefu. Mfumo wowote wa engine za magari umetengenezwa kuweza kujipoza wenyewe hasa inapokuwa safarin na ndo maana kuna Oil na maji. Unless hiyo gari ni mbovu. Gari yoyote ile ina perform vizuri zaidi kwenye cooling systems inapokuwa kwenye mwendo kuliko kwenye folen kama za Dar. So, kutoka Mwanza mpaka mtwara sio issue wala haina uhusiano na ukubwa wa engine. Tofauti kubwa ya gari kubwa ama ndogo kwenye safari ndefu ni ile comfortability tu kwa maana kwamba Mwenye gari ndogo atachoka sana kuliko Mwenye VX na hii ni kwa sababu gari ndogo inahitaji nidham kwenye mashimo na road humps wakati gari kubwa kwenye shimo au bumps we ndo unaongeza mwendo 🙂, au kwenye kona, wa gari ndogo lazima upunguze mwendo wakati gari kubwa unapita na speed hata over 180 as long as you know what you are doing. Uliza swali lolote kuhusu huu uzi na ntakujibu maana nimeisha safiri na gari tofauti tofauti so najua nina uzoefu na pia sipendi kupoteza muda kwa maana ya speed [emoji6]
 
Acheni kudanganyana hakuna gari dunia ya leo inahitaji kupumzishwa kisa kwa sababu ya mwendo mrefu. Mfumo wowote wa engine za magari umetengenezwa kuweza kujipoza wenyewe hasa inapokuwa safarin na ndo maana kuna Oil na maji. Unless hiyo gari ni mbovu. Gari yoyote ile ina perform vizuri zaidi kwenye cooling systems inapokuwa kwenye mwendo kuliko kwenye folen kama za Dar. So, kutoka Mwanza mpaka mtwara sio issue wala haina uhusiano na ukubwa wa engine. Tofauti kubwa ya gari kubwa ama ndogo kwenye safari ndefu ni ile comfortability tu kwa maana kwamba Mwenye gari ndogo atachoka sana kuliko Mwenye VX na hii ni kwa sababu gari ndogo inahitaji nidham kwenye mashimo na road humps wakati gari kubwa kwenye shimo au bumps we ndo unaongeza mwendo 🙂, au kwenye kona, wa gari ndogo lazima upunguze mwendo wakati gari kubwa unapita na speed hata over 180 as long as you know what you are doing. Uliza swali lolote kuhusu huu uzi na ntakujibu maana nimeisha safiri na gari tofauti tofauti so najua nina uzoefu na pia sipendi kupoteza muda kwa maana ya speed [emoji6]
asante,,hebu tusaidie mapungufu ya IST na gari zingine za model hiyo hiyo,,mfano why IST and not raum
 
Back
Top Bottom