hanc j
Member
- Jan 12, 2017
- 98
- 30
Ist na raum zinatumia engen mojaasante,,hebu tusaidie mapungufu ya IST na gari zingine za model hiyo hiyo,,mfano why IST and not raum
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ist na raum zinatumia engen mojaasante,,hebu tusaidie mapungufu ya IST na gari zingine za model hiyo hiyo,,mfano why IST and not raum
Huyo anauza anataka pesa yake cashNikupe BMW 3 series 2003, 218i. Unipe hiyo Ist uniongezee na 3M
umekurupukaIst na raum zinatumia engen moja
Kumbe IST inapuyanga mwendo kiasi iko! Ni kagari ka maana sana!Inatembea moja kwa moja kama wewe hujaamua kupumzika.. ila automatically safari ya Dar to mwanza lazima utapumzika. Ist haichemshi.. nshawahi endesha IST dar to bukoba nlilala ushirombo.
Angalia ukubwa wa injili, ni kipimo cha uwezo wa gari. Ist ni gari yenye injili ndogo sana na usipoipumzisha utaiuaHivi IST inaweza kwenda Mtwara to Mwanza bila kupumzika njiani?
Sio kwelAngalia ukubwa wa injili, ni kipimo cha uwezo wa gari. Ist ni gari yenye injili ndogo sana na usipoipumzisha utaiua
Unabisha bure mkuu, najua ni gari nzuri hasa kwa matumizi ya mafuta, lakini gari nzuri kwa masafa marefu ni zenye cc kubwa tuSio kwel
Huyo anauza anataka pesa yake cash
Wewe niuzie me hiyo bm then uende kununua ya mshikaji